Ana watoto wanne kwa mkewe ,miaka saba iliyopita akaanza kufanya uchafu na binamu yake hatimaye wakapata mtoto, kama vile haitoshi akampitia mara kadhaa shemejiye mke wa kaka yake ambaye ni dereva wa masafa marefu.
Na huyo mke wa Kaka yake alikuwa na matatizo ya uzazi lakini baada tu ya kuanza kumpitia, ni Kama yale matatizo ya shemeji kayahamishia kwa mkewe, Shemejiye akapata mtoto, lakini mkewe ni mwaka wa sita mimba nne changa na kubwa moja zimechomoka,
Wamekuwa wakienda na mkewe kupata matibabu kwa madaktari mbalimbali bila mafanikio, wamezunguka sana kwa Wakunga wa jadi nako wameambulia patupu, Anawaza inawezekana haya yote yanatokea kwasababu.
1:Kazaa na binamu yake
2:Alishampitia shemeji yake (waliachana)
Kaja kwangu kuomba ushauri nimekosa la kumshauri nikaona nije kwenu wanaJF ,kwa niaba yake naomba ushauri wenu tunamsaidiaje huyu ndugu yetu.
Na huyo mke wa Kaka yake alikuwa na matatizo ya uzazi lakini baada tu ya kuanza kumpitia, ni Kama yale matatizo ya shemeji kayahamishia kwa mkewe, Shemejiye akapata mtoto, lakini mkewe ni mwaka wa sita mimba nne changa na kubwa moja zimechomoka,
Wamekuwa wakienda na mkewe kupata matibabu kwa madaktari mbalimbali bila mafanikio, wamezunguka sana kwa Wakunga wa jadi nako wameambulia patupu, Anawaza inawezekana haya yote yanatokea kwasababu.
1:Kazaa na binamu yake
2:Alishampitia shemeji yake (waliachana)
Kaja kwangu kuomba ushauri nimekosa la kumshauri nikaona nije kwenu wanaJF ,kwa niaba yake naomba ushauri wenu tunamsaidiaje huyu ndugu yetu.