Anaejua masuala ya zipcode kwa Tanzania

Anaejua masuala ya zipcode kwa Tanzania

MR LINKO

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2016
Posts
3,034
Reaction score
3,544
Habari wana JF,

Mimi nilikuwa nahusika na (website) huko UG, sasa kwa hapa Bongo kuna swala la (zipcode) ni gumu sana na hata sijui nijanzeje maana ukiweka lazima waangalie sshemu uliko na ukidanganya huwa hawaangaiki na wewe.

Tofauti na sehemu nyingine nilikuwa napiga nawaambia wana (comfirm) sasa bwana kwa Bongo imekuwa ngumu sana kwangu.

Niko Moshi Kilimanjaro mwenye upeo na hii kitu anijuze.
 
Habari wana jf mimi nilikuwa nahusika na website huko ug sasa kwa hapa bongo kuna swala la zipcode ni gumu sana na hata sijui nijazeje maana ukiweka lazima waangalie sshemu uliko na ukidanganya huwa hawaangaiki na wewe. Tofauti na sehemu nyingine nilikuwa napiga nawaambia wana comfirm sasa bwana kwa bongo imekuwa ngumu sana kwangu.
Niko moshi kilimanjaro mwenye upeo na hii kitu anijuze.
Unataka ya mkoa kwa mkoa au?
check hapa
GeoPostcodes.com
 
Habari wana jf mimi nilikuwa nahusika na website huko ug sasa kwa hapa bongo kuna swala la zipcode ni gumu sana na hata sijui nijazeje maana ukiweka lazima waangalie sshemu uliko na ukidanganya huwa hawaangaiki na wewe. Tofauti na sehemu nyingine nilikuwa napiga nawaambia wana comfirm sasa bwana kwa bongo imekuwa ngumu sana kwangu.
Niko moshi kilimanjaro mwenye upeo na hii kitu anijuze.


check hii website
Complete Domestic and International ZIP Code Numeric List from Douglas Boynton Quine
 
Ingia kwenye website ya TCRA kuna zip code karibia za nchi nzima kama sikosei.
 
TanzAnia uwa hatuna zipcode uwa tuna postcode kule america ndo kuna zipcode kuna web jamaa kakuwekea apo juu ingia udownload postcode list then utajua n ipi ya uko ulipo
 
Habari wana JF,

Mimi nilikuwa nahusika na (website) huko UG, sasa kwa hapa Bongo kuna swala la (zipcode) ni gumu sana na hata sijui nijanzeje maana ukiweka lazima waangalie sshemu uliko na ukidanganya huwa hawaangaiki na wewe.

Tofauti na sehemu nyingine nilikuwa napiga nawaambia wana (comfirm) sasa bwana kwa Bongo imekuwa ngumu sana kwangu.

Niko Moshi Kilimanjaro mwenye upeo na hii kitu anijuze.

Pitia humo bila shaka utapata postcode ya eneo lako.
 

Attachments

Back
Top Bottom