Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 48,936
- 54,156
biashara ya kuuza na kununu kitu muhimu ni bei
Mkuu nami bei sijaiona kabisa sasa mpaka upige simu ?
biashara ya kuuza na kununu kitu muhimu ni bei
Bei yake ni 17M wakuu.... nawasilisha
Hahahaa...ni vipaumbele tu mkuu...siku hizi gari sio luxury ni necessity
aisee babaangu kwa pesa hiyo si afadhali nikajenge
Unaleta hadith za vijiweni, we ni pungu1 kabisa. Umewahi miliki gari wewe? mmezoea toyota, hivi mmerogwa? gari unaweza kaa nayo hata miaka 20 tatizo nini? acha uzuzu wewe, ka huna cash kaa kimya na I.S.T-like carsHiyo umeoa ndoa ya kikristo ndugu yangu, ni wa kufa na kuzikana! Labda ukauze Sumbawanga..
Heshima wakuu..Heri ya mwaka mpya.. anayehitaje Nissan Xtrail tuwasiliane ni mpya ya 2004 reg.ni CLM Details zingine;
colour; silver
cc; 1990
fuel; petrol
Automatic transmission
imetembea 151,000/= km
Imported in june 2013 from Japan
check me in 0754 814 910 au ni-pm
Ni kweli mkuu hizi mashine zimetulia barabarani nilieanda nayo rukwa likizo na niliinjoi indeed, sema tu mwaka huu umeanza kuna mambo nimepanga niyafanye kwanza mapema, nikirudi level I hope ntarudi mulemule mkuu...si unajua gari sio mke..Mkuu kila la kheri, safi sana gari hii kwa niionavyo hasa kwenda nayo kwetu likizo ila saivi sina hela tu
Mkombe we wa Rukwa?Ni kweli mkuu hizi mashine zimetulia barabarani nilieanda nayo rukwa likizo na niliinjoi indeed, sema tu mwaka huu umeanza kuna mambo nimepanga niyafanye kwanza mapema, nikirudi level I hope ntarudi mulemule mkuu...si unajua gari sio mke..
Hahahaaa...hapo parefu mkuu, sio chini ya 50M hiyo halafu mafuta hapo ni mziki...sio kama hizi zetu unaweka mafuta ya elfu 10 gauge inasogea unakula maishaView attachment 130035View attachment 130036
Siku hizi x-trail kubwa zaid zinapatikana. Tuletee kama hizi
Unazijua hizi gari mkuu au unahadithiwa tu? Tafuta watu kama watatu wenye nazo uwaulize ni za mwaka gani...hutopata ya 2004 nakuhakikishia...ni 2000 hadi 2002 ndio nyingi... fanya huo hiyo simple utafiti hata kwa kupiga simu tu....Kwa mwaka huo, mileage hiyo sio bei yake kabisa! Labda umpate asiyejua magari, na kweli utawakamata! Besides, xtrail ni moja ya magari yasiyouzika kama "third hand"!!
Unazijua hizi gari mkuu au unahadithiwa tu? Tafuta watu kama watatu wenye nazo uwaulize ni za mwaka gani...hutopata ya 2004 nakuhakikishia...ni 2000 hadi 2002 ndio nyingi... fanya huo hiyo simple utafiti hata kwa kupiga simu tu....
Unamaanisha ulikua nayo ikakusumbua? Ilisumbua nini? Weka wazi....ndio kwanza naskia kwako hii habari...huku kwetu hizi gari zinatumika na watu wa miradi ya barabara na ndio watu wa kwanza kuanza kuziingiza TZ na mpaka hapa navyoandika wanazitumia pamoja na mikikimikiki yote ile na uzuri hizi gari bodi haichakai...sasa hiyo ya kwako sijui ni xtrail ya wapi mkuu...au porojo tu uonekane ulishawahi kumiliki mashineHi zi no mimba zisizo name wazazi a cha kabisa nililepeleka langumodji kwa wazazi wakafienalo loh