Magari kweli huyajui...hebu nambie Navara utafananisha na toyota gani kwa mfano....hilux?haya wewe sema nissan gani(model) utakayo lingalisha na toyota yoyote hapa uiweke tuidadavue..au ni x-trail..x-trail ni unreliable car period..utake usitake sana sana unataka kumuhamishia matatizo yako mtu kwa 17m....tafuta toyota yoyote ya bei hio then ilinganishe na x-trail.
Porojo nyiiingi...wabongo bhana...kama huwez nunua si ubaki unatamani tu mkuu? Siku yako ikifika nawe utamiliki gari..
Unaleta hadith za vijiweni, we ni pungu1 kabisa. Umewahi miliki gari wewe? mmezoea toyota, hivi mmerogwa? gari unaweza kaa nayo hata miaka 20 tatizo nini? acha uzuzu wewe, ka huna cash kaa kimya na I.S.T-like cars
Hua napata tabu kuelewa comments zako! Hivi unafanya makusudi au ndio mambo ya screen touch??
​sio story za vijiweni mie nishakuwa na three different nissan models...so i know all about them...nissan ni majanga huwezi compare na toyota hata siku moja...never on earth.
mkombe we wa rukwa?
Why? Nyie ndo mnakurupuka hamjui hata magari..... xtrail ndo habari ya mjini sahivi...affordable, iko luxury na haili mafuta...sasa wewe unajua nini?