Mariaclara Luiz
Member
- Oct 5, 2015
- 60
- 3
Habari wanajf,jaman naombeni ushauri kuhusu hili maana mpaka sasa sijaelewa anamaanisha nini..mmi nina mpenzi wangu ambaye huu sasa ni mwaka wa tatu nipo nae sasa hivi juzi kati wakat tupo chatting tu kama kawaida akanambia kuna kitu kasau kunambia nilipomuliza kitu gani akanambia niende nikacheki mkojo na damu,nilipomuuliza kwanini akanambia yeye alikutwa na uti kidogo hivo na mie niende,nikamuliza asa kama ni uti mbona ananambia nikacheki na damu akanambia nikacheki damu kama haina tatizo lolote kumuuliza kwanini kakazania kua nikacheki damu akanijibu check for advance..yani kanichanganya apa nina mawenge balaa hta kwenda kupima naogopa,jamani naomben ushauri wenu hivi atakua ana maana gani kunikazania nikacheki damu!