Anadai huwa anachelewa kushika mimba

@judgement
umeongea kwa uchungu?

Mwenzangu...! hata nilichouliza hajanijibu...kashikia bango neno "wabaya". Hahhahhaha....

Judgement...wanaume hamzai!! Mnatoa tu mchango kikamilifu katika kumuunda mtoto. Shida zote zinazotokea kipindi cha uchumba na kuchumbia ni changamoto tu za hapa na pale,mwisho wa siku kama beibe ni wako unachukua jumla..Turudi kwenye swali nililouliza, Je kipimo cha kuoa au kuishi na mwanamke kinaenda sambamba na uwezo wake wa kuzaa?? maaana wanaume wengi wamebeza hapo juu kuhusu ya uwezo wake (mdada) wa kuzaa.
 
@judgement
umeongea kwa uchungu?

NDIYO KONGOSHO INAUMA! tena si unaona kaingia mitini anakwepa kututaka opology, subiri baadae nimuanzishie Thread !. Salama yake aombe radhi au apigwe fine ya kuanzisha a particular thread ya apology.
 
habari za masiku wana-mmu?
Katika hali ya maisha ya kutafuta mpenzi nilikutana na msichana mmoja na tukakubaliana kufunga ndoa ila kinachonitatiza katika mazungumzo yetu kuna siku alidai kuwa yeye anachelewa kushika mimba ile hali anadai hajawahi kuzaa wala kuolewa. Jamani nisaidieni inawezekana mtu kujitambua anachelewa kushika mimba bila kubeba mimba au ndiyo nanunulia mbuzi kwenye gunia? Naombeni mawazo yenu tafadhali

unauliza nini na jibu ushajipa mwenyewe..
 
HEART ! Tutake Razi (radhi) kabla jua halijazama sie TUWAZAENI kisha tuwe wabaya ? Kabla ya kuwazaa tunahangaika kutafuta pesa za mahari kwa MBINDE tukawaoa mama zenu tena some times panatokea competetion wanaume watatu kumfatilia mchumba mmoja hatimae mmoja anaoa tunaanza maisha na mama zenu nyumba za kupanga nyie tunawalea tunawasomesha leo mmekua unachukua simu/labtop ambayo siajabu nimekununulia mie Baba yako kisha wasema wanaume (means Akinababa) WABAYA ? Ndiyo shukurani yenu hiyo ?

Kwani hapa tunaongelea mapenzi ya baba na mwana?? Btw, wewe kama baba mchango wako ni mdogo sana ktk kunileta mie duniani, hujanizaa.......kwanza hata leba hupajui achilia mbali ile misukosuko ya miezi 9!!!
 
Hahahhaaa..umeona eeeh! akitoka hapo akakutangazie vizuri....Otherwise kipimo cha kuoa au kuishi na mwanamke kinaenda sambamba na uwezo wa mwanamke huyo kuzaa?? wanaume wabaya nyinyi..

Shangaa na wewe ndugu yangu, tena ukiwa mnyonge ndo atakunyongea kweli!!! Assume ndo wewe sasa unaambiwa upelekwe kupimwa.....hahahahaaa!!
 
NDIYO KONGOSHO INAUMA! tena si unaona kaingia mitini anakwepa kututaka opology, subiri baadae nimuanzishie Thread !. Salama yake aombe radhi au apigwe fine ya kuanzisha a particular thread ya apology.

Hilo tu ndo limekuuma Mr Judge au kuna la ziada??
 
Kwani hapa tunaongelea mapenzi ya baba na mwana?? Btw, wewe kama baba mchango wako ni mdogo sana ktk kunileta mie duniani, hujanizaa.......kwanza hata leba hupajui achilia mbali ile misukosuko ya miezi 9!!!

Kisweet! Kumbe ulinitupia bango hapa sikua nimerejea mapema! Coz nilikua tite na shughuli, jirani yangu kuna mnuso so tulikua miserebukoni.
Comment yako nimeiona but still ni nyepesi ! Najipanga nitoke na kamba yangu nikupe umuhimu wa Mwanaume, in short Mungu alipoanza na kumfinyanga Adam kwanza then Hawa alikua na maana yake!
 
Baba Erick mwenzio kakwambia hali yake ww unaanza kugaya gaya na kutuuliza sisi maswali,kwnn usingemuuliza mwenyewe km hajawahi kuzaa na kubeba mimba alijuaje anachelewa kushika mimba? Ukituuliza sisi unatuonea kwakweli.
 
Back
Top Bottom