Fundisi Muhapa
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 4,422
- 2,110
Waliwahi kutubu?Hata kwenye maandiko matakatifu walikuwepo... Tena walikuwa wauaji... Paulo na Silla kama sikosei
Waliwahi kutubu?Hata kwenye maandiko matakatifu walikuwepo... Tena walikuwa wauaji... Paulo na Silla kama sikosei
Haujamsikia mengine aliyoyasema hao aliongea nao last year pia walifanyaje hao!!!
ni wavivu tu, mazoea mabaya acha awaamshe wajielewe.
Video clips zingine hizo chini uone hata bosi wa elimu mkoani alikuwa anazembea tu
Oooh Bebiii ... Nayumba natereeeza ...Madara madara madaraka ya kulevya
Sasa ivi atasema vita na waalimu wabovu haitamuacha mtu salamaKama kawaida yake atalewa sifa af baadaye atajisaidia yeye mwenyew haja kubwa na ndogo 2subr
tusubrie kik itakayo kujaSasa ivi atasema vita na waalimu wabovu haitamuacha mtu salama