Anachokifanya Docta Slaa sio fair

Eti kuna ambao hawajamwelewa mtoa mada! Kuna style kadhaa za uandishi ikiwa ni pamoja na lugha. Mtoa mada katumia lugha inayoitwa "lugha ya kinyume". Imeandikwa mahala fulani; kusikia mtasikia lakini hamtaelewa, kuona mtaona lakini hamtatambua. Mambo ya falsafa hayo. Umeeleweka vizuri sana Mkuu.
 
Jana nilipokuwa nikifuatilia harambee ya CHADEMA kupitia luninga kwanza nilianza kujiuliza maswali where is DR SLAA, baada ya muda ikatolewa taarifa kwamba yuko kwenye operation sangara huko mahenge, interior kabisa yaani ndani uko vijijini chini kabisa ambako umasikini na ujinga ndio utambulisho wa wakazi wake.

Mi nashangaa huko kaenda kufanya nini wakati inajurikana ndio ngome ya CCM,mi kwa kweli naona kama sio fair kwenda kwenye ngome za wengine, alafu why now? sababu inakuwa kama vile tuko kwenye uchaguzi vile. THIS IS TOO MUCH PRESSURE.

Mkuu nakuunga mkona yaani Dr. ni mkatili kweli anawakaanga magamba bila ya huruma, mwe!!!!!!!!!!!!
 
Naona watu wote mmeshindwa kumwelewa mleta uzi, nimemsoma vizuri kwamba Dr Slaa sio fair anavyozidi kuwatia pressure magamba, anaingia mpaka kwenye vungu za vitanda vyao. Magamba hayapumui tena.

mimi nimemuelewa sana ndo maana nikampiga na liasante
 
Dah Yani wewe Ndio unaishi karne ya 4 tofauti na mtoa mada uliyesema anaishi karne ya 17. Na Kama unaishi karne Hii ya 21 basi utakuwa ni janga la kitaifa kwa kuwa mvivu wa kufikiri, sioni ajabu kumuhurumia adui yako pale unapompiga bila yeye kujibu mashambulizi wamarekani huko Iraqi na afganistan wakishusha bomu lenye uzito wa tani 10 hapo hapo wanashusha na tani 5 za vyakula mtoa mada anamuonea Huruma adui Yake apo kuna ubaya gani? Hapo kaandika kinyume tu cha Kiswahili hujaelewa je angeandika ki hibrania Nadhani usingechangia kabisa...... Mimi nitawaonea Huruma zaidi maadui wetu pale nguvu ya Dr na timu yake pale itakapo elekezwa pwani hapa ni no retreat no surrender mpaka magogoni



QUOTE=MKANKULE;4411167]Yani mimisijamwelewa mtoa mada, sijui bado anaishi karne ya 17. Nimkumbushe tu kwamba chadema wanalenga hasa ile mikoa ambayo imekuwa ni ngome ya CCM na mkakati wao lazima waende kwenye mikoa mitano ambayo ni morogoro,dodoma,singida,manyara na mkoa mmoja nimeusahau.

Mjini watu tayari wameshaelewa nini maana ya vyama vingi,ila kijijini ndiko ambapo kuna tabu,maana watu huwa wanadangaywa kuwa wakati wa kupiga kura kama watampingia mgombea mbae sio wa CCM basi watamuona tu kwahiyo woga umetawala huko na ujinga bado mwingi.

Hivyo vuguvugu la mabadiliko M4C linalenga haswaa hao wa vijijini ambao bado hadi leo wanadanganyika kwa kanga na kofia. Yani kama wewe unaishi mjini na bado una mawazo ya kizamani namna hii ningekushauri urudi kijijini labda ndugu zako wa kijijini watakusaidia kuwa hata wao wameshajua nini maana ya vuguvugu la mabadiliko. Nakusikitikia sana,na unatia huruma,
[/QUOTE]
 
naona kichwa chako hakiko sawa kuna m2 mwenye miliki ya ngome kwhiyo unataka wasijenge chama,hebu kajipange upya.
 
Pole sana kaka hata yesu kristo alikuja kukomboa walio angamia nasio walio okoka,so dr.slaa kwenda vijijini ambako ndio ngome ya ccm yuko sawa kabisa.
 
Naona watu wote mmeshindwa kumwelewa mleta uzi, nimemsoma vizuri kwamba Dr Slaa sio fair anavyozidi kuwatia pressure magamba, anaingia mpaka kwenye vungu za vitanda vyao. Magamba hayapumui tena.

Yep hakuna kulala,chubua mpaka ngozi hao magamba.
 
mbona mnamshambulia mleta mada kawawekea kamtego kadogo tu mmeshindwa kumuelewa nini anamaanisha? Ukiwa gamba ndo unapaswa umshambulie.

Mimi pia nilielewa hivyo, nikajua kuwa the guy is jocking na anakusudia kusema kinyume chake.
 
watu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! nguvu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Dr slaa anainyanyasa sana ccm kiasi cha kuwafanya washindwe kuendesha nchi, Dr slaa watu wanakuamini sana kiasi cha kutaka uwe raisi hata sasa hivi, Dr slaa ccm wanakuogopa sana walijua usivyokuwa bungeni basi wangepumua, lakini imekuwa tofauti sana kwani bado vijana wa cdm wanawaendesha sana wan-ccm huko mjengoni, Dr slaa bado unawafata ccm huko huko vijijini na kuwahamishia chadema sio kwa kutumia nguvu bali maneno tu, Dr slaa safi sana Kamanda wa anga jana katuwezeshea shughuli ya m4c, Dr slaa tunakuamini tunakuhitaji
 
MODS weka hii video pale juu magamba waone Dr. Slaa anavyopendwa na watanzania wa Vijijini ...PLSSSS!
[video=youtube_share;ioW-VBOAA9E]http://youtu.be/ioW-VBOAA9E[/video]
 
Yani mimisijamwelewa mtoa mada, sijui bado anaishi karne ya 17. Nimkumbushe tu kwamba chadema wanalenga hasa ile mikoa ambayo imekuwa ni ngome ya CCM na mkakati wao lazima waende kwenye mikoa mitano ambayo ni morogoro,dodoma,singida,manyara na mkoa mmoja nimeusahau.

Mjini watu tayari wameshaelewa nini maana ya vyama vingi,ila kijijini ndiko ambapo kuna tabu,maana watu huwa wanadangaywa kuwa wakati wa kupiga kura kama watampingia mgombea mbae sio wa CCM basi watamuona tu kwahiyo woga umetawala huko na ujinga bado mwingi.

Hivyo vuguvugu la mabadiliko M4C linalenga haswaa hao wa vijijini ambao bado hadi leo wanadanganyika kwa kanga na kofia. Yani kama wewe unaishi mjini na bado una mawazo ya kizamani namna hii ningekushauri urudi kijijini labda ndugu zako wa kijijini watakusaidia kuwa hata wao wameshajua nini maana ya vuguvugu la mabadiliko. Nakusikitikia sana,na unatia huruma,

Mbona Jana Mbowe kasema kwamba vijijini sasa wako mbele katika kupush mabadiriko kuliko wa mjini??
 
Back
Top Bottom