Umejitahidi ila mganda kwenye ile article bado yuko juu.
Aiseee!! kumbe kuna rahis na rais
Soma kwa makini alichoandika. Ametumia fasihi kufikisha ujumbe kwa kikwete. Hujamuelewa mwandishi. Kwa kifupi amemrushia makavu JK!!naamini wewe ni mmoja wa waliokuwa wanafurahia na kunufaika....
Magufuli anatumbua majipu yaliyoshindikana kutumbuliwa na Kikwete. Hiyo haina maana kuwa Magufuli anamchonganisha Kikwete kwa Wananchi
naamini wewe ni mmoja wa waliokuwa wanafurahia na kunufaika....