Hata mbowe hawezi kukuelewa ndiyo maana aliamua kubadilisha gia angani hakuna aliyemzuia 2015
Je tulee ujinga huu
By mbowe"
Ndugu zangu
Kule Afrika ya Kusini jana juzi aliyekuwa rais wa Afrika ya Kusini Jacob Zuma, amelazimishwa kujiuzulu,
Rais Zuma alijiuzulu kwa kwa makosa mbalimbali yakiwemo yakupuuza katiba na sharia za afrika ya kusini pamoja na ufisadi .
Leo tuna rais wa nchi hapa anaitwa Magufuli anafanya watu wote wa nchi hii hatuna akili na watu tunakubali kwamba kasema magufuli….
Magufuli ni nani?…shangwe…
Magufuli nimekaa nae bungeni zaidi ya miaka kumi na tano, Magufuli ni mtu mmoja mfupi kitoka Chato, kila mtu Magufuli, Magufuli..yaani kila mmoja metro.. kisa nini .. Mgufuli mtu mmoja mfupi kutoka Chato. Balaa gani hii. ..
Magufuli amechaguliwa kuwa rais wanchi hii,
Akaapa kuilinda katiba, na katiba yetu inasema inasema utwala wa nchi yetu na mfumo wauongozi wa nchi yetu ni mfumo wa vyama vingi vya siasa.
Magufuli anasema hakuna kufanya siasa, mpaka 2020, na wanaume wote, wanawake wote wanakubali,
kasema nani Magufuli anavunja katiba badala ya kumkemea, tumtake ajiuzulu tunaogopa ujinga gani huu..
Kinondoni
Ni kweli serikali niya wananchi ila magufuli kaipora toka kwa wananchi wa Tanzania, ndo maana yeye sasa ndo mgawaji wa pesa zetu tena kwa matakwa yake badala ya kutumia taratibu tulizokubaliana_refer maneno yake pale kimara kwenye ufunguzi wa ujenz wa barabara Kimara Kibaha.By the way nimeshakuambia kuwa kwa kuwa yeye ameamua kutoitii katiba aliyoapa kuilinda basi hamna namna sisi ambao hatujaapa kuilinda tunaweza kuiheshimu