shareef95nes
Senior Member
- Jan 16, 2013
- 108
- 16
eti jaman hii kitu inanishangaza kwa kweli,kuna manzi yangu mmoja hivi nikiwa naongea nae kwa simu nyakati za usiku,kunamtu huwaanampigia,sasa yeye anachofanya nikuhold on namba yangu(yani kama kunistopish flani)alafu anaongea nauyo kiumbe mwengine akimaliza kuongea nae ndo ananiludisha mm...,,Eti jamani hii kweli haki kwa mm boyfriend wake?