radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,427
- 32,196
Serikali imeniogopa,serikali imewadhurumu wana Buyungu chaguo lao.
Kwa upande wangu naamini nimetimiza wajibu wangu,ni kweli kwamba sikuwa na uwezo wa kudhibiti FFU zaidi ya 400,tena usiku wa saa 10.
Ukipata fulsa ya kuwatumikia watu timiza wajibu wako. Mbunge miaka 10,Waziri miaka 7 na Naibu Waziri miaka 3 bado ili ushinde unahitaji FFU tena 400? Shame!! Poleni sana Wayungu,Mungu yupo upande wetu.
Elia F Michael
Mbunge nje ya Bunge.
Kwa upande wangu naamini nimetimiza wajibu wangu,ni kweli kwamba sikuwa na uwezo wa kudhibiti FFU zaidi ya 400,tena usiku wa saa 10.
Ukipata fulsa ya kuwatumikia watu timiza wajibu wako. Mbunge miaka 10,Waziri miaka 7 na Naibu Waziri miaka 3 bado ili ushinde unahitaji FFU tena 400? Shame!! Poleni sana Wayungu,Mungu yupo upande wetu.
Elia F Michael
Mbunge nje ya Bunge.