Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,447
Ushakuwa legend Naseeb... Usiishi maisha ya kisiasa ambayo yanafanya issues za kitaifa uside upande mmoja zinapojitokeza. Issue ambazo kimsingi zinaumiza watu wengi. Nigga simama, ongea, kemea, shauri, lalamika... Acha utoto wa kukaa kimya.
Sehemu kubwa ya mawe unayoingiza ni kwa njia ya mtandao. Internet ndo kila kitu. Bila mtandao wa internet dogo ungekuwa nothing dunia hii. Serikali imevagaa na kuingiza watu chaka la simba kwenye issue za Bando. Wewe kama haupo vile.
Suala la bei za bando limewagusa watu wote nchi hii. Don't take it easy bro.... Ongea. Sema. Onesha kukatika stimu. Mamilioni ya watu wako wote huko mitandaoni ni kwa sababu ya bando la internet. Hushituki kama wanataka kukufilisi kwa kukutenganisha na watazamaji wa ngoma zako huko you tube?
Unasubiri wengine tuseme, kisha tukose ushikaji na VIONGOZI wa taifa hili. Halafu wewe ukae kimya ili uonekane uko nao vizuri. Wakupende. Wakati UKWELI ni kwamba sisi tunalalamika kwa NIABA yako? Maana sisi tunalilia bando la kuchat whatsApp na kuitia pisi kali viwanjani na chatting za groups. Ila wewe internet kwako ni utajiri wa kutisha.
Ajabu @faustine_ndugulile kazingua wewe umekaa kimya. Na pengine umempongeza kimya kimya kabisa. Next time hao hao wakiona walalamikaji tuna hoja na wakabadilisha hayo maamuzi yao ya kijinga, wewe ndo utakuwa wa kwanza kuwapongeza na kuwasifu kama watu wanaojali watu wenyonge.
Vinega wa Ant Virus, walichangia sana bei za malipo ya shoo Bongo zipande. Wenye akili wanajua. Ila ninyi hamtaki kukiri wala kutoa salute. But siyo kesi hata hiki kinachowagusa watu wako wa Tandale huko. Ambao kimsingi ndo waathirika zaidi kwa kutoona swaga zako insta. Wewe umekausha kama vile haya makitu hayakuhusu.
Kukaa kimya ni usnitch kinoma. Ufala pia. Maana kesho mtakuja mitandao kuwaambia watu wazame kwenye #biozenu watazame video mpya. Watatazama kwa makalio?
Ongea dogo, washua wanazingua issues za bando. Kwa sababu internet ndo maisha ya sanaa na wasanii kwa sasa. Wapo wengi. Lakini wewe una nguvu ya mashabiki na unasikilizwa na viongozi. Do that!
Dr. Levy
Sehemu kubwa ya mawe unayoingiza ni kwa njia ya mtandao. Internet ndo kila kitu. Bila mtandao wa internet dogo ungekuwa nothing dunia hii. Serikali imevagaa na kuingiza watu chaka la simba kwenye issue za Bando. Wewe kama haupo vile.
Suala la bei za bando limewagusa watu wote nchi hii. Don't take it easy bro.... Ongea. Sema. Onesha kukatika stimu. Mamilioni ya watu wako wote huko mitandaoni ni kwa sababu ya bando la internet. Hushituki kama wanataka kukufilisi kwa kukutenganisha na watazamaji wa ngoma zako huko you tube?
Unasubiri wengine tuseme, kisha tukose ushikaji na VIONGOZI wa taifa hili. Halafu wewe ukae kimya ili uonekane uko nao vizuri. Wakupende. Wakati UKWELI ni kwamba sisi tunalalamika kwa NIABA yako? Maana sisi tunalilia bando la kuchat whatsApp na kuitia pisi kali viwanjani na chatting za groups. Ila wewe internet kwako ni utajiri wa kutisha.
Ajabu @faustine_ndugulile kazingua wewe umekaa kimya. Na pengine umempongeza kimya kimya kabisa. Next time hao hao wakiona walalamikaji tuna hoja na wakabadilisha hayo maamuzi yao ya kijinga, wewe ndo utakuwa wa kwanza kuwapongeza na kuwasifu kama watu wanaojali watu wenyonge.
Vinega wa Ant Virus, walichangia sana bei za malipo ya shoo Bongo zipande. Wenye akili wanajua. Ila ninyi hamtaki kukiri wala kutoa salute. But siyo kesi hata hiki kinachowagusa watu wako wa Tandale huko. Ambao kimsingi ndo waathirika zaidi kwa kutoona swaga zako insta. Wewe umekausha kama vile haya makitu hayakuhusu.
Kukaa kimya ni usnitch kinoma. Ufala pia. Maana kesho mtakuja mitandao kuwaambia watu wazame kwenye #biozenu watazame video mpya. Watatazama kwa makalio?
Ongea dogo, washua wanazingua issues za bando. Kwa sababu internet ndo maisha ya sanaa na wasanii kwa sasa. Wapo wengi. Lakini wewe una nguvu ya mashabiki na unasikilizwa na viongozi. Do that!
Dr. Levy