Kamanda wa Kweli
JF-Expert Member
- Jul 13, 2014
- 1,448
- 835
HahahaaaSasa unashindwa nini kujilipia mahari mwenyewe kama mimba ulimpa mwenyewe
Mimba umpe wewe then usimuoe, unataka mwenzio awe singo maza
Kuna ndoa za bomani, kuna kuweka makubaliano baina yenu na maisha yakaendelea tu