Ocran
JF-Expert Member
- Jun 29, 2017
- 1,045
- 1,352
pamoja na Familia yako ndio watu wako wa karibu zaidi na wanaokutakia mema lakini Dunia ya sasaivi sio ya kupangiana maisha ukisha kua mkubwa na kujitambua, wao watahusika kwenye kukushauri tu na sio kuchukua maamuzi.Habari wakuu
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu, nipo njia panda nahitaji ushauri wa ziada.
Me ni muislam mwenzangu kristo lakini ndg wamesema nisimuoe kisa dini zetu ni tofauti na wamesema nikitaka kumuoa basi mahari nijilipie mwenyewe.
Nilijaribu kuhoji wameniambia wengi walioa wakiristo hawakufika popote kimaendeleo na kimahusiano yani mahusino yanakua hayaeleweki pia ukiangalia huyu binti anamimba yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app