Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,832
Huyu ndiye mwanaume nimpendae, tatizo ana watoto watatu na hajaoa, na pia anasumbuliwa sana na wanawake wake wa zamani na wanawake wengi wanamtongoza kwenye simu na kila tutokapo out.
Je, nifanyeje ili atulie na awe wangu peke yangu? Na niwafanye nini wanaomtongoza usiku na mchana?
Je, nifanyeje ili atulie na awe wangu peke yangu? Na niwafanye nini wanaomtongoza usiku na mchana?