Ana kwa ana na Dr.Ulimboka

Ana kwa ana na Dr.Ulimboka

Mwishoni mwa juma hili,nilikuwa nchini Uganda kumsindikiza kigogo mmoja wa CCM na Serikali aliyekwenda kutoa mkono wa pole kwa Rais Yoweri Kaguta Museveni ambaye hivi karibuni alifiwa na mama yake mzazi. Baada ya kuhani,tukarejea Kampala na miji ya pembezoni kutembeatembea na kupunga upepo.

Mimi niliamua kwenda kumtembelea 'classmate' wangu wa UDSM ambaye anahadhiri Makerere University. Ni Profesa wa Sheria pale. Tukazungumza vya kutosha na mwenyeji wangu ambaye alikuwa kwenye viunga vya chuo hicho. Baadaye nikamuaga kurejea nilipomuacha kigogo niliyemsindikiza aliyekuwa ananisumbua mno kwenye simu kama mtu asiyejiamini.

Wakati natoka viunga vya Makerere,nikamuona Dr.Stephen Ulimboka. Mimi hanijui kama akina Abed na Ighondu. Nikajipendekeza kumsalimu kwa kiswahili fasaha. Akaniitikia.Anasoma pale. Ana siha njema na mwenye furaha. Tukaongea na kufahamiana.

Anawashukuru watanzania wote kwa ujumla wao kwa kila sala,swala na nia njema kwake. Hana mengi zaidi ya shukrani.Amesema tukio lake limemsogeza karibu na Mungu na watanzania. Ilifika wakati alilia kwa furaha kwa stori zangu za huku Bongo na maisha kwa ujumla.

Dr.Ulimboka yu imara na anasonga mbele!

VUTA-NKUVUTE wa Lumumba Dar es Salaam

Conjured story but with purpose!!
 
hivi kesi yake imefikia wapi? au ndio ameshazimwa na kontena la midola?

Bila shaka Serikali ndio wamempeleka kusoma huko Uganda na nsdio maana ile Movie yake imefutika kabisa.

Ni heri basi wangelimuachia Yule Mkenya Joshua anateseka tu, kumbe ina maana hata alipotaka Dr. ulimboka apelekwe akamtambue ilishindikana kwa sababu jamaa yupo Uganda anakula nchi.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
mkuu VUTA-NKUVUTE nimejaribu kufuatilia orodha ya majina ya watu alioruka na ndege zote kuelekea kampala/Enttebe kwa siku zote za wiki iliyopita, sioni jina la kigogo wa ccm alieelekea huko.Je! mlisafiri kwa kutumia majina bandia? ni Mimi Joram Kiango wa Hapa Air Port.

Sasa kwa nini unatumia jina la betlehem? Why not Joram Kiango. By the way. Hayanihusu. This is private business.
 
Mkuu betlehem aka Joram Kiango,wapi niliposema tumesafiri kwa ndege? Kwenda Uganda ni lazima upande ndege? Uliza kwanza Mkuu
 
Last edited by a moderator:
Mwishoni mwa juma hili,nilikuwa nchini Uganda kumsindikiza kigogo mmoja wa CCM na Serikali aliyekwenda kutoa mkono wa pole kwa Rais Yoweri Kaguta Museveni ambaye hivi karibuni alifiwa na mama yake mzazi. Baada ya kuhani,tukarejea Kampala na miji ya pembezoni kutembeatembea na kupunga upepo.

Mimi niliamua kwenda kumtembelea 'classmate' wangu wa UDSM ambaye anahadhiri Makerere University. Ni Profesa wa Sheria pale. Tukazungumza vya kutosha na mwenyeji wangu ambaye alikuwa kwenye viunga vya chuo hicho. Baadaye nikamuaga kurejea nilipomuacha kigogo niliyemsindikiza aliyekuwa ananisumbua mno kwenye simu kama mtu asiyejiamini.

Wakati natoka viunga vya Makerere,nikamuona Dr.Stephen Ulimboka. Mimi hanijui kama akina Abed na Ighondu. Nikajipendekeza kumsalimu kwa kiswahili fasaha. Akaniitikia.Anasoma pale. Ana siha njema na mwenye furaha. Tukaongea na kufahamiana.

Anawashukuru watanzania wote kwa ujumla wao kwa kila sala,swala na nia njema kwake. Hana mengi zaidi ya shukrani.Amesema tukio lake limemsogeza karibu na Mungu na watanzania. Ilifika wakati alilia kwa furaha kwa stori zangu za huku Bongo na maisha kwa ujumla.

Dr.Ulimboka yu imara na anasonga mbele!

VUTA-NKUVUTE wa Lumumba Dar es Salaam

Kuna tetesi kwamba alipigwa Millioni200 kwamba akae kimya kuhusiana na sakata lake.
 
Mwishoni mwa juma hili,nilikuwa nchini Uganda kumsindikiza kigogo mmoja wa CCM na Serikali aliyekwenda kutoa mkono wa pole kwa Rais Yoweri Kaguta Museveni ambaye hivi karibuni alifiwa na mama yake mzazi. Baada ya kuhani,tukarejea Kampala na miji ya pembezoni kutembeatembea na kupunga upepo.

Mimi niliamua kwenda kumtembelea 'classmate' wangu wa UDSM ambaye anahadhiri Makerere University. Ni Profesa wa Sheria pale. Tukazungumza vya kutosha na mwenyeji wangu ambaye alikuwa kwenye viunga vya chuo hicho. Baadaye nikamuaga kurejea nilipomuacha kigogo niliyemsindikiza aliyekuwa ananisumbua mno kwenye simu kama mtu asiyejiamini.

Wakati natoka viunga vya Makerere,nikamuona Dr.Stephen Ulimboka. Mimi hanijui kama akina Abed na Ighondu. Nikajipendekeza kumsalimu kwa kiswahili fasaha. Akaniitikia.Anasoma pale. Ana siha njema na mwenye furaha. Tukaongea na kufahamiana.

Anawashukuru watanzania wote kwa ujumla wao kwa kila sala,swala na nia njema kwake. Hana mengi zaidi ya shukrani.Amesema tukio lake limemsogeza karibu na Mungu na watanzania. Ilifika wakati alilia kwa furaha kwa stori zangu za huku Bongo na maisha kwa ujumla.

Dr.Ulimboka yu imara na anasonga mbele!

VUTA-NKUVUTE wa Lumumba Dar es Salaam
Mkuu si useme tu ulikuwa umemsindikiza Mkwe.re, Maan yeye Baada ya Kutoka Ethiopia akaunga Moja kwa Moja Kumpa Pole Mu7

PS:
Mkuu oneeni Huruma Kodi zetu jaman
 
mkuu VUTA-NKUVUTE nimejaribu kufuatilia orodha ya majina ya watu alioruka na ndege zote kuelekea kampala/Enttebe kwa siku zote za wiki iliyopita, sioni jina la kigogo wa ccm alieelekea huko.Je! mlisafiri kwa kutumia majina bandia? ni Mimi Joram Kiango wa Hapa Air Port.

Mkuu, Last Week aliyeenda huko kwa Dhima hiyo ni Mkwer.e, alitokea Ethipoia straight to Uganda
 
Kikwete kaamua kumtoa kwa njia hio, hayo yalikua ndio malipo yake baada ya action ya ikulu
 
museven alifiwa na baba yake wewe umesema mama
Museven amefiwa na wazazi wote wawili. Wa mwisho ni baba yake. Samahani kwa kuchanganya hapo. Hatahivyo,kosa dogo kama hilo haliharibu hoja
 
Usalama wa CCM bwana!? mtu alifika Rwakitura kijijini kumzika Mzee Amos kaguta 97; baba mzazi wa Rais Yoweri Kagutta M7 wa Uganda lakini bado anatwambia eti "mama yake mzazi?!

Such a person can not tell Dr Ulimboka from Adam?!
 
Mwishoni mwa juma hili,nilikuwa nchini Uganda kumsindikiza kigogo mmoja wa CCM na Serikali aliyekwenda kutoa mkono wa pole kwa Rais Yoweri Kaguta Museveni ambaye hivi karibuni alifiwa na mama yake mzazi. Baada ya kuhani,tukarejea Kampala na miji ya pembezoni kutembeatembea na kupunga upepo.

Mimi niliamua kwenda kumtembelea 'classmate' wangu wa UDSM ambaye anahadhiri Makerere University. Ni Profesa wa Sheria pale. Tukazungumza vya kutosha na mwenyeji wangu ambaye alikuwa kwenye viunga vya chuo hicho. Baadaye nikamuaga kurejea nilipomuacha kigogo niliyemsindikiza aliyekuwa ananisumbua mno kwenye simu kama mtu asiyejiamini.

Wakati natoka viunga vya Makerere,nikamuona Dr.Stephen Ulimboka. Mimi hanijui kama akina Abed na Ighondu. Nikajipendekeza kumsalimu kwa kiswahili fasaha. Akaniitikia.Anasoma pale. Ana siha njema na mwenye furaha. Tukaongea na kufahamiana.

Anawashukuru watanzania wote kwa ujumla wao kwa kila sala,swala na nia njema kwake. Hana mengi zaidi ya shukrani.Amesema tukio lake limemsogeza karibu na Mungu na watanzania. Ilifika wakati alilia kwa furaha kwa stori zangu za huku Bongo na maisha kwa ujumla.

Dr.Ulimboka yu imara na anasonga mbele!

VUTA-NKUVUTE wa Lumumba Dar es Salaam

Lets say ni kweli ulimuona sasa swali, lengo lako ni nini? Jamaa amenusurika kifo akaamua kuenda undercover. Huoni kama kuna mtu aliyekuwa anamtafuta atajua aliko?! Sikuelewi maana wote tunajua hii mambo ilivyoisha. Jamani mwache apumzike, mbona unamtafutia matatizoo?!!
 
ndio ameshafikisha taarifa mwezenu subirini tu. maccm haya mabaya kweli!
 
Masikini Uli!!! Shamchongea tyr. Maweee!
 
Back
Top Bottom