SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 50,081
- 75,445
Kwa hiyo bado mnamfuatilia mpaka mhakikishe anakweda kaburini.
hivi kesi yake imefikia wapi? au ndio ameshazimwa na kontena la midola?
Mwongo mkubwa wee!!. Raisi Museveni alifiwa na baba mzazi wala sio mama.
Hoja ni kifo. Ni kweli aliyefariki karibuni ni babaye. It was just a typing error.Mwongo mkubwa wee!!. Raisi Museveni alifiwa na baba mzazi wala sio mama.
Mwishoni mwa juma hili,nilikuwa nchini Uganda kumsindikiza kigogo mmoja wa CCM na Serikali aliyekwenda kutoa mkono wa pole kwa Rais Yoweri Kaguta Museveni ambaye hivi karibuni alifiwa na mama yake mzazi. Baada ya kuhani,tukarejea Kampala na miji ya pembezoni kutembeatembea na kupunga upepo.
Mimi niliamua kwenda kumtembelea 'classmate' wangu wa UDSM ambaye anahadhiri Makerere University. Ni Profesa wa Sheria pale. Tukazungumza vya kutosha na mwenyeji wangu ambaye alikuwa kwenye viunga vya chuo hicho. Baadaye nikamuaga kurejea nilipomuacha kigogo niliyemsindikiza aliyekuwa ananisumbua mno kwenye simu kama mtu asiyejiamini.
Wakati natoka viunga vya Makerere,nikamuona Dr.Stephen Ulimboka. Mimi hanijui kama akina Abed na Ighondu. Nikajipendekeza kumsalimu kwa kiswahili fasaha. Akaniitikia.Anasoma pale. Ana siha njema na mwenye furaha. Tukaongea na kufahamiana.
Anawashukuru watanzania wote kwa ujumla wao kwa kila sala,swala na nia njema kwake. Hana mengi zaidi ya shukrani.Amesema tukio lake limemsogeza karibu na Mungu na watanzania. Ilifika wakati alilia kwa furaha kwa stori zangu za huku Bongo na maisha kwa ujumla.
Dr.Ulimboka yu imara na anasonga mbele!
VUTA-NKUVUTE wa Lumumba Dar es Salaam
Mama/baba si hoja ya msingi hapaSiku zote njia ya mwongo ni fupi
Hapo kwenye red kama story yako ni kweli na huyo kigogo ni mwajiri wako, basi wewe utakuwa ni mwajiriwa "mpumbavu". Inakuwaje unashindwa kuheshimu kazi yako? Boss wako akisoma hapa lazima akutimue kazi sijuhi utamlaumu nani?
Jifunzeni kuheshimu kazi zenu jamani!! Ndoo maana watu wanaamua kuajiri wageni kuliko midomo mirefu kama
wewe.
Hoja ni kifo. Ni kweli aliyefariki karibuni ni babaye. It was just a typing error.
kwa taarifa yako hiyo sijui kama atafika 2015Mwishoni mwa juma hili,nilikuwa nchini Uganda kumsindikiza kigogo mmoja wa CCM na Serikali aliyekwenda kutoa mkono wa pole kwa Rais Yoweri Kaguta Museveni ambaye hivi karibuni alifiwa na mama yake mzazi. Baada ya kuhani,tukarejea Kampala na miji ya pembezoni kutembeatembea na kupunga upepo.
Mimi niliamua kwenda kumtembelea 'classmate' wangu wa UDSM ambaye anahadhiri Makerere University. Ni Profesa wa Sheria pale. Tukazungumza vya kutosha na mwenyeji wangu ambaye alikuwa kwenye viunga vya chuo hicho. Baadaye nikamuaga kurejea nilipomuacha kigogo niliyemsindikiza aliyekuwa ananisumbua mno kwenye simu kama mtu asiyejiamini.
Wakati natoka viunga vya Makerere,nikamuona Dr.Stephen Ulimboka. Mimi hanijui kama akina Abed na Ighondu. Nikajipendekeza kumsalimu kwa kiswahili fasaha. Akaniitikia.Anasoma pale. Ana siha njema na mwenye furaha. Tukaongea na kufahamiana.
Anawashukuru watanzania wote kwa ujumla wao kwa kila sala,swala na nia njema kwake. Hana mengi zaidi ya shukrani.Amesema tukio lake limemsogeza karibu na Mungu na watanzania. Ilifika wakati alilia kwa furaha kwa stori zangu za huku Bongo na maisha kwa ujumla.
Dr.Ulimboka yu imara na anasonga mbele!
VUTA-NKUVUTE wa Lumumba Dar es Salaam
No. No. No...It was not a typing error but a PRESENTATION ERROR. This rises a lot of questions about authentication of your report..... It was just a typing error.
Hivi ni sahihi kumwaga jamvini taarifa binafsi za mtu? Halafu mtu mwenyewe ni Uli, ambaye ni muhanga wa watu wenye nia mbaya...
mkuu VUTA-NKUVUTE nimejaribu kufuatilia orodha ya majina ya watu alioruka na ndege zote kuelekea kampala/Enttebe kwa siku zote za wiki iliyopita, sioni jina la kigogo wa ccm alieelekea huko.Je! mlisafiri kwa kutumia majina bandia? ni Mimi Joram Kiango wa Hapa Air Port.
Mwishoni mwa juma hili,nilikuwa nchini Uganda kumsindikiza kigogo mmoja wa CCM na Serikali aliyekwenda kutoa mkono wa pole kwa Rais Yoweri Kaguta Museveni ambaye hivi karibuni alifiwa na mama yake mzazi. Baada ya kuhani,tukarejea Kampala na miji ya pembezoni kutembeatembea na kupunga upepo.
Mimi niliamua kwenda kumtembelea 'classmate' wangu wa UDSM ambaye anahadhiri Makerere University. Ni Profesa wa Sheria pale. Tukazungumza vya kutosha na mwenyeji wangu ambaye alikuwa kwenye viunga vya chuo hicho. Baadaye nikamuaga kurejea nilipomuacha kigogo niliyemsindikiza aliyekuwa ananisumbua mno kwenye simu kama mtu asiyejiamini.
Wakati natoka viunga vya Makerere,nikamuona Dr.Stephen Ulimboka. Mimi hanijui kama akina Abed na Ighondu. Nikajipendekeza kumsalimu kwa kiswahili fasaha. Akaniitikia.Anasoma pale. Ana siha njema na mwenye furaha. Tukaongea na kufahamiana.
Anawashukuru watanzania wote kwa ujumla wao kwa kila sala,swala na nia njema kwake. Hana mengi zaidi ya shukrani.Amesema tukio lake limemsogeza karibu na Mungu na watanzania. Ilifika wakati alilia kwa furaha kwa stori zangu za huku Bongo na maisha kwa ujumla.
Dr.Ulimboka yu imara na anasonga mbele!
VUTA-NKUVUTE wa Lumumba Dar es Salaam