Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 3,302
- 5,409
Hahaha wewe si umesema ana D mbili sasa D4 ya 33 maana yake nini?Ndio ni D4 ya 33
Hahaha wewe si umesema ana D mbili sasa D4 ya 33 maana yake nini?Ndio ni D4 ya 33
Maskini😂😂😂😂, Nchi ngumu sana yaani.
acha kuudanganya umma mkuu D2 certificate hawez pata course Amazon
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshauri arudie kidato cha nne kwa ufaulu huo chuo chochote kitakacho mchagua kinampotezea muda. FIV ili aweze kujiunga na chuo kwa ngazi ya cheti anatakiwa awe na D zisizopungua 4.Wakuu samahani
Mdogo wangu matokeo ya form 4 kapata D mbili je ni chuo gani naweza mpeleka akaanze certificate msaada wa mawazo yenu ndugu zangu
Haipo collage zote zilizopo chini ya NACTE wanachukua kianzia D4 na kuendelea na zisiwe zinazousisha masomo ya diniNafikiri bado hamjaninibu wakuuu ni collage gani anaweza pata kwa sifa hizo
Shukrani kwa maelezo mazuriWe nawe una kichwa kigumu.
Vyuo vya Nacte (NTA) entry qualification ni D4 na hiyo ni basic certificate
Vyuo vya Vocational yaani VETA kama mzazi wao na hao wengine akina amazon ndio wanapokea Hata D1 ila jua hawatoi certificate wanatoa NVA 1 hadi 3
Sasa jichanganye