Street brain
JF-Expert Member
- Oct 24, 2022
- 482
- 592
Wakuu mdogo wangu kapata div 4 ya 33.
Ana ufaulu huu hapa kisw C, hist,F civ F, geo F, bio F, eng F, math F, Nishaurini anafaa kusomea nini au ni sehemu gani itakayomfaa maana hapa natafakari na yeye kachanganyikiwa maana alitamani akasomee clinical officer but ufaulu haumruhusu nipeni ushauri wakuu ana stress Sana hakutegemea hayo matokeo.
🙏🙏🙏🙏
Ana ufaulu huu hapa kisw C, hist,F civ F, geo F, bio F, eng F, math F, Nishaurini anafaa kusomea nini au ni sehemu gani itakayomfaa maana hapa natafakari na yeye kachanganyikiwa maana alitamani akasomee clinical officer but ufaulu haumruhusu nipeni ushauri wakuu ana stress Sana hakutegemea hayo matokeo.
🙏🙏🙏🙏