Nafikiri mpeleke veta,atafute fani anayoipenda asomeWakuu samahani
Mdogo wangu matokeo ya form 4 kapata D mbili je ni chuo gani naweza mpeleka akaanze certificate msaada wa mawazo yenu ndugu zangu
IT kozi/ certifications. Recommending: www.tzcodeacademy.comWakuu samahani
Mdogo wangu matokeo ya form 4 kapata D mbili je ni chuo gani naweza mpeleka akaanze certificate msaada wa mawazo yenu ndugu zangu
IT kozi/ certifications. Recommending: www.tzcodeacademy.com
VETA panamfaa asome anachokipenda usimchagulieWakuu samahani
Mdogo wangu matokeo ya form 4 kapata D mbili je ni chuo gani naweza mpeleka akaanze certificate msaada wa mawazo yenu ndugu zangu
Online.Mkuuu hii ni online au wanapatikana wapi chuo chao
SHULE ni upuuzi kama upuuzi mwingine.
Siku huzi chuo wanafunzi wanafuata connection &buum la kuwabusti mambo yao na sio kufuata elimu.
Ukilijua hilo hutaangaika kuwasomesha ndugu/watoto zako elimu mzigo ambayo haina manufaa zaid ya kuwafanya kuwa tegemezi na walalamishi kwa kila jambo.
Hizo pesa za kumpeleka chuo ni bora utunze ama uziwekeze ktk ardhi ama mali zinazokuwa kigharama kadri muda uwendapo, na pale huyo kijana akipata akili ya maisha basi mkabizi urithi wake ajitegemee.
Kama vip mtaftie hata kijichuo cha mchongo akaendelee kukua huko na wenzake ili akili zizidi kuchangamka ama vip peleka veta akapate mafunzo ya ufundi,
Acheni kukalili maisha, si kila mtu lazma apite njia walizopita wengine, mtaendelea kupoteza muda wenu na pesa zenu kwa Mambo Uselessness.
Kwa hizi college za kawaida haiwezekani au??
Nafikiri bado hamjaninibu wakuuu ni collage gani anaweza pata kwa sifa hizo
acha kuudanganya umma mkuu D2 certificate hawez pata course AmazonBroo, sifa ya chuo ni D4 chini ya hapo hawezi pata chuo chochote cha kati.
labda aende Veta. ndiko wanapokea hadi D2
Vyuo ambavyo vinatambulika na vipi chini ya NACTE ufaulu wa chini wa kuweza kudahiliwa ni kuanzia D nne.Wakuu samahani
Mdogo wangu matokeo ya form 4 kapata D mbili je ni chuo gani naweza mpeleka akaanze certificate msaada wa mawazo yenu ndugu zangu
Nashauri kama anataka kuendelea na certificate arudie mtihani wa kidato cha nne apate walau D mbili zingine ziwe jumla 4Wakuu samahani
Mdogo wangu matokeo ya form 4 kapata D mbili je ni chuo gani naweza mpeleka akaanze certificate msaada wa mawazo yenu ndugu zangu
😂😂😂😂, Nchi ngumu sana yaani.Ndio ni D4 ya 33