Ana 1 ya 7 PCB, yatima anasomea udaktari na kakosa mkopo

KISS 100

JF-Expert Member
Apr 27, 2021
527
1,100
Habari zenu. Kijana kachaguliwa KCMC Medical na ufaulu wake ndio huo hapo juu. Dr Kimaro akamuombea mkopo kwa waumini ibadani na akapata Mkopo wote kwa mwaka mmoja.

Kijana yule wazazi wake ni marehemu na bado hajapata Mkopo na anasomea udaktari kozi kipaumbele.

Wadau inakuaje mtu ana one nzuri na anakosa HELSB Loan, au kuna upendeleo wa utoaji mikopo?
 
Habari zenu.Kijana kachaguliwa KCMC Medical na ufaulu wake ndio huo hapo juu.
Dr Kimaro akamuombea mkopo kwa waumini ibadani na akapata Mkopo wote kwa mwaka mmoja.
Kijana yule wazazi wake ni marehemu na bado hajapata Mkopo na anasomea udaktari kozi kipaumbele.
Wadau inakuaje mtu ana one nzuri na anakosa HELSB Loan,au kuna upendeleo wa utoaji mikopo?
Fomu ameambatanisha vielelezo vyote Muhimu mfano death certificate, kulikuwa na muda wa kukata rufaa alifanya hivyo kuwa hajapata na ana sifa?

Tupende kusoma terms and conditions za mkataba kama kuna sehemu inasema mkataba lazima yatima apate mkopo hapo aandike barua kuonyesha kifungu kilichokiukwa pamoja na vielelezo vyote Muhimu.

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
1.7 PCB anaenda KCMC? Huenda wamefaulu sana miaka hii. Miaka yetu ukipata 1.7 ni moja kwa moja Muhas, au Udom.

Tuachane na hilo, huenda kuna makosa katika application zake za loanboard sio rahisi mwanafunzi wa MD akose mkopo hata kama anaenda soma chuo private.

Kwa ufaham wangu wakisoma katika private institutions kutokana na baadhi ya vyuo kua na cost kubwa ya tution fee, loanboard hufanya cost sharing kwa kulipa 3.6mil, na kiasi kingine cha ada mwanafunzi anachangia. Lakini bumu pamoja na stationary hupewa full kama wengine tu.

Kitu pekee ambacho loanboard walikua hawalipii ni ile pesa ya direct cost tu ambayo hutofautiana kwa kila chuo. Hiyo hulipwa na mwanafunzi kila anapoanza mwaka wa masomo (pesa ya kitambulisho, serikali ya wanafunzi, bima ya afya, n.k)
 
Habari zenu. Kijana kachaguliwa KCMC Medical na ufaulu wake ndio huo hapo juu. Dr Kimaro akamuombea mkopo kwa waumini ibadani na akapata Mkopo wote kwa mwaka mmoja.

Kijana yule wazazi wake ni marehemu na bado hajapata Mkopo na anasomea udaktari kozi kipaumbele.
Wadau inakuaje mtu ana one nzuri na anakosa HELSB Loan, au kuna upendeleo wa utoaji mikopo?
huyo kakosea kuomba tu...Kiuhalisia hata angesoma private gani anastahili mkopo.
 
1.7 PCB anaenda KCMC? Huenda wamefaulu sana miaka hii. Miaka yetu ukipata 1.7 ni moja kwa moja Muhas, au Udom.

Tuachane na hilo, huenda kuna makosa katika application zake za loanboard sio rahisi mwanafunzi wa MD akose mkopo hata kama anaenda soma chuo private.

Kwa ufaham wangu wakisoma katika private institutions kutokana na baadhi ya vyuo kua na cost kubwa ya tution fee, loanboard hufanya cost sharing kwa kulipa 3.6mil, na kiasi kingine cha ada mwanafunzi anachangia. Lakini bumu pamoja na stationary hupewa full kama wengine tu.

Kitu pekee ambacho loanboard walikua hawalipii ni ile pesa ya direct cost tu ambayo hutofautiana kwa kila chuo. Hiyo hulipwa na mwanafunzi kila anapoanza mwaka wa masomo (pesa ya kitambulisho, serikali ya wanafunzi, bima ya afya, n.k)
Kuna kitu hapo juu hakiko sawa katika maelezo yako.
Kuhusu ushindani wa alama ili kupata chuo husika, UDOM ipo chini sana ikiwa utailinganisha na KCMC au Bugando. Mambo ya chuo cha umma au private kwenye fani za afya hususani kwa kozi ya MD hayapo sana, issue kubwa ni kupata chuo chenye hiyo kozi plus ubora wa Chuo. Kwa hapa Tanzania, mpaka sasa vyuo vya afya vyenye sifa kubwa ya utoaji wa elimu kwa kozi ya MD ni vitatu; MUHAS(Muhimbili), KCMC na Bugando (CUHAS)na sababu kubwa ni ukongwe pamoja na uwepo wa hospitali kubwa katika mazingira yao kwa ajili ya kujifunzia.
 
1.7 PCB anaenda KCMC? Huenda wamefaulu sana miaka hii. Miaka yetu ukipata 1.7 ni moja kwa moja Muhas, au Udom.

Tuachane na hilo, huenda kuna makosa katika application zake za loanboard sio rahisi mwanafunzi wa MD akose mkopo hata kama anaenda soma chuo private.

Kwa ufaham wangu wakisoma katika private institutions kutokana na baadhi ya vyuo kua na cost kubwa ya tution fee, loanboard hufanya cost sharing kwa kulipa 3.6mil, na kiasi kingine cha ada mwanafunzi anachangia. Lakini bumu pamoja na stationary hupewa full kama wengine tu.

Kitu pekee ambacho loanboard walikua hawalipii ni ile pesa ya direct cost tu ambayo hutofautiana kwa kila chuo. Hiyo hulipwa na mwanafunzi kila anapoanza mwaka wa masomo (pesa ya kitambulisho, serikali ya wanafunzi, bima ya afya, n.k)
Enzi zetu ukitandika 1 ya pcm au pcb ww ni mwamba, hiki kizazi shule nzima dv one ni nyingi kuliko 2,
Muhas siku hizi ni point 3 na 4,tano kibahati
 
Huyu itakua kaandika wazazi hawapo ila hajaeka death certificates, au kama kazieka ameeka ambazo hazina muhuri wa rita
Pia loan board ni watu sio malaika akikata rufaa hawezi kosa
Kwahiyo siku hizi zile kelele za kozi kipaumbelee hazipo?
 
Back
Top Bottom