Athari hasi za dini
1. Inamwanisha mtu mweusi kwamba mzungu ni superior race. Mtu tangu akiwa mtoto anaomba na kuyapigia magoti masanamu ya wazungu kama yesu, maria, watakatifu, malaika n.k. Na kuaminishwa kwamba ndio yenye uwezo wa kufanya superstitions na kumsuluhishia matatizo yake. Hii inapelekea kujiona mnyonge kwa mzungu na kumwona mzungu ksms mkombozi wake.
2. Inadanganya kwamba duniani tunapita makazi mazuri yapo mbinguni kwaiyo waweke akiba zao(sadaka) ili waje kupata hayo makazi mazuri. Hii inaoumbaza mtu mweusi asiandae future ya vizazi vijavyo.
3. Dini inapandikiza ubaguzi. Watu wanaweza kupendana lakini familia zikawatengemesha kwa sababu ya tofauti ya dini za kuletewa tu.
4. Dini haimtaki muumini kuitoa akili nchi ya box, na kufanya hivyo ni kukufuru. Hii inaweza kumfanya mtu ashindwe kutafuta tangiable solutions na kukimbilia kwenye imani.
Mambo uliyayataja kama kusoma, kulea familia, kumoenda jirsni yako, kusaidia yatima hayana mfungamano wa jumla na dini yaani yanaweza kufanyika bila uwepo wa dini. Hauhitaji dini kumfanyia mtu wema, utashi wa kibinadamu tu unakuongoza kujua jambo hili jema au baya kumtendea mwenzako.
Au nikuulize, unahitaji dini ikuambie umpeleke mtoto wako shule?