Amuacha mkewe kisa mkewe hapendi utani

Amuacha mkewe kisa mkewe hapendi utani

Ndoa sio dude lisiloeleweka. Mpaka mfikie hatua ya kufunga ndoa hakikisheni kuna chemistry kati yenu na si kuoneana huruma au tamaa. Kinyume na hapo lazima ndoa iwe chungu.
Hiyo kemia mkuu inaweza kuwa imejikita kwenye mgegedo kwamba genitalia zinaendana na zina utamu stahiki. Hii pia ni kemia mkuu. Japo nimekupata vizuri sana mkuu. Thumb up for ur comment.
 
Kwa maana hiyo hata kitandani hakuna kutaniana wala kubembelezana... Ni kushika kunyonga kila mtu upande wake...
Mimi na mahondaw ni full shangwe muda wote... Raha sana...


Insikitisha sana....


Cc: mahondaw
 
Mwambie aje kunioa mm ntamtania mpk achoke, akitaka papuchi naanza kuenda mbio chumbn mpk atachoka kunikimbiza ataishia kulala, akirudi kazn anakuta meza imepambwa fresh hot pots zimefunikwa safiii akifunua empty msosi hamna na mengne meng mm napenda sana utani!!
Huu ni mzaha sasa, yaani akukimbize bila kupata kishimo pendwa?! Yaani achoke kukukimbiza afu alale?![emoji13] [emoji13] Hapo mi ntaleta utani wa kukukata mtama!! Nilale bila kukitia dawa kidonda ndugu? Hapana!!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Hiyo username yako sasa

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Back
Top Bottom