Amuacha mkewe kisa mkewe hapendi utani

Amuacha mkewe kisa mkewe hapendi utani

Hili ndo tatizo la kukaa mjini muda merefu bila kuoa siku wazazi wanakuitia mke uende kuoa unakikuta chuma kikolimoto unabeba tu. Haya ndo madhara yakuchaguliwa mke wakuoa na wazazi..
 
Alioa ili apost picha facebook na instergram kaupload miezi yote nane zimeisha sasa anatafuta waandishi wahabari waandike magazetini .
 
Walikurupuka kuoana, inakuaje unaoa mtu usiyejua tabia yake !!! Lazima tabia ziendane kiasi ili muoane
 
Hili si lilifanyika March mwaka jana, mdau!? Yaani kumbe limefika huku!
 
Sasa wanaishije bila utani kama wanapendana...basi hao walikurupuka.. 24 hours mambo ya msingi tu so stress zitajaa....hao haa outing hawatoki hao
 
Hata mimi ningempiga chini,hata maofisini skuizi watu wanakuwa na utani wa hapa na pale,jitu lilosiriaz muda wote la nini sasa maisha yenyewe yametaiti haya mkijichekelesha inapunguza maumivu ya anko magu,sense of humor muhimu
Agiza bia au soda au wine
 
Mwambie aje kunioa mm ntamtania mpk achoke, akitaka papuchi naanza kuenda mbio chumbn mpk atachoka kunikimbiza ataishia kulala, akirudi kazn anakuta meza imepambwa fresh hot pots zimefunikwa safiii akifunua empty msosi hamna na mengne meng mm napenda sana utani!!
We unanifaaaaaa we unanifaaaa.....
 
Hapo ni ngumu kuamini, hata kama umetafutiwa lazima walishakaa wakazoeana na kujuana hakuona hiyo tofauti kweeli
Umeonaee huyo ana sababu nje ya hapo na sio kwamba hapendi utani
 
Umeonaee huyo ana sababu nje ya hapo na sio kwamba hapendi utani
Kwanzaa kwa maisha yapi mtu ushindwe kuwa na utani na mumeo!!! Hamna kitu Kizuri kama utani jamani, yawezekana analo lake jambo
 
Kwanzaa kwa maisha yapi mtu ushindwe kuwa na utani na mumeo!!! Hamna kitu Kizuri kama utani jamani, yawezekana analo lake jambo
Bora angeliweka wazi kuliko kumpa hila mdada wa watu.
 
Duuh! Mi nishawah kupata dada flani ana mtoto nilishaamua kuoa kabisa..dah kuna siku alikuja na mwanae home katika utani nacheza na mtoto nikamwita mtoto cha deko yaan anadeka! Yule dada alinunua balaa nikajua utani, siku moja nilituma matumizi nikaandika mpe cha deko wangu buku akanunue pisto(za bandia) dah huwez kuamini na uchumba ulikufa!! Sijui mwalimu wa wanawake anapatikana wapi..hatari sana hawa viumbe
 
Mwambie aje kunioa mm ntamtania mpk achoke, akitaka papuchi naanza kuenda mbio chumbn mpk atachoka kunikimbiza ataishia kulala, akirudi kazn anakuta meza imepambwa fresh hot pots zimefunikwa safiii akifunua empty msosi hamna na mengne meng mm napenda sana utani!!
Hapo hata mm jirani yake nimekutamani. Hiyo style ya kukimbizana chumbani mkiwa mmevaa "empty" imetulia sana
 
Sasa wanaishije bila utani kama wanapendana...basi hao walikurupuka.. 24 hours mambo ya msingi tu so stress zitajaa....hao haa outing hawatoki hao
Kama afande tu umeshangaa namna hii sisi wengine si ndiyo tutazimia kabisa?
 
Jamani nyeti nilizopenyezewa sasa hivi ni kwamba jirani yangu ambaye ndoa yake ina miezi 8 tu imevunjika.

kwa mujibu wa mtonyaji wangu aliyehusika ktk usuluhishi wa mgogoro Wa wanandoa hao, ni kwamba mke anamkera mumewe kwa kuwa hapendi utani. Wanaishi kwa kufuata mno utaratibu kana kwamba ni viongozi wa dini.

Mume inadai anapenda mke ambaye anaishi naye kama rafikj, kumtania kidogo na kisha wanacheka.

"Huyu mke wangu huyu tunaishi kwa kuongea mambo ya msingi tu. Inachosha". Alilalama njemba huyo.

My take: jamani ndoa ni dude lisiloeleweka.
Ndoa sio dude lisiloeleweka. Mpaka mfikie hatua ya kufunga ndoa hakikisheni kuna chemistry kati yenu na si kuoneana huruma au tamaa. Kinyume na hapo lazima ndoa iwe chungu.
 
Mwambie aje kunioa mm ntamtania mpk achoke, akitaka papuchi naanza kuenda mbio chumbn mpk atachoka kunikimbiza ataishia kulala, akirudi kazn anakuta meza imepambwa fresh hot pots zimefunikwa safiii akifunua empty msosi hamna na mengne meng mm napenda sana utani!!
Hahahaha
 
Back
Top Bottom