Amsha amsha ya show za muziki miaka ya zamani

Amsha amsha ya show za muziki miaka ya zamani

God'sBeliever

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2015
Posts
5,788
Reaction score
3,068
za leo wana JF.
natamani kuskia hadith na story kuhusu show za wanamuziki wa kitambo kabla hata sisi wakizazi cha 1990 hatujazaliwa.
binafsi niko in love sana na nyimbo za zaman nikisikiliza nyimbo kama ya mzee kalala nimekusamehe lakini sitosahau, them mushroom embe dodo embe dodo limelala mchangani malizia mdau wangu.... daa naburudika sana yani kupa ladha ya vitu vya zamani nanogewa sana.
miaka ya 2000 na nyimbo kama nimekuchagua wewe ya bob rudala ni tamu sana cha kushangaza hata haishuki kiwango, daddy coolo james kuna nyimbo yupo na miss sarah daa ni nzuri kwa kweli.
dansi kibao zianikosha sana kama kitambaa cheupe ni kali sana.
wakubwa tupeni habari zenu kipindi mpo vijana na wale wanaoingia utu uzima sana nafurahi kushea nanyi viwanja mlivyokua mnatokea kipindi icho na mama zetu vipi walikua wanasumbua kama akina dada wa siku izi?
 
..simpo dogo..nenda Entertainmen forum kwenye uzi wa Balantanda kuna madini ya kutosha!
...waazime kidogo Diamond na Kiba akili hizi,Bitchuka kashazeeka!
 
Hahahaaaa kumbe wewe wa juzi 90 [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
hahahah, naomba unisaidie kuweka link ya hiyo balantanda hapa, napenda sana mambo ya kale
....hahahahaha...Balantanda ni expert member,ana uzi upo Entertainment forum...tena upo sticky,juu juu kabisa!
 
za leo wana JF.
natamani kuskia hadith na story kuhusu show za wanamuziki wa kitambo kabla hata sisi wakizazi cha 1990 hatujazaliwa.
binafsi niko in love sana na nyimbo za zaman nikisikiliza nyimbo kama ya mzee kalala nimekusamehe lakini sitosahau, them mushroom embe dodo embe dodo limelala mchangani malizia mdau wangu.... daa naburudika sana yani kupa ladha ya vitu vya zamani nanogewa sana.
miaka ya 2000 na nyimbo kama nimekuchagua wewe ya bob rudala ni tamu sana cha kushangaza hata haishuki kiwango, daddy coolo james kuna nyimbo yupo na miss sarah daa ni nzuri kwa kweli.
dansi kibao zianikosha sana kama kitambaa cheupe ni kali sana.
wakubwa tupeni habari zenu kipindi mpo vijana na wale wanaoingia utu uzima sana nafurahi kushea nanyi viwanja mlivyokua mnatokea kipindi icho na mama zetu vipi walikua wanasumbua kama akina dada wa siku izi?
Pitia hapa chini...

ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao
 
Back
Top Bottom