Hzo sio kazi TISS. Yaan TISS waache kuhangaika na ishu kubwa za usalama wa nchi wahangaike na panya road. Polis ambao ndio walinzi wa mali na raia wanafanya kazi gani?Yaani tunashindwa kuchunguza na kujua Panya road ni akina nani na wanatokea wapi ili tuchukue hatua?.
Yaani kitengo cha CID jeshi la polisi, na hata task force fulani ya TISS wanashindwa kufanya intelejensia for a week na kukamata wote pamoja na kukata mzizi kabisa?
Yaani vitoto vidogo ndio vinasumbua mijitu tuliyoisomesha kwa hela nyingi nje na ndani na kuwapa majukumu ya kutulinda na kututumikia huku wengine tukifanya kazi kwa bidii kulipa kodi na kujenga nchi halafu yenyewe inakuwa mipumbavu tu.
Usalama wa nchi maana yake nini? Wenye nchi/wananchi wanakatwa mapanga hapo kuna usalama? Vyombo vya ulinzi na usalama huwa vinashea taarifa.Hzo sio kazi TISS. Yaan TISS waache kuhangaika na ishu kubwa za usalama wa nchi wahangaike na panya road. Polis ambao ndio walinzi wa mali na raia wanafanya kazi gani?
Hzo sio kazi TISS. Yaan TISS waache kuhangaika na ishu kubwa za usalama wa nchi wahangaike na panya road. Polis ambao ndio walinzi wa mali na raia wanafanya kazi gani?
Police ndio wanawatuma hakuna mwingineNi hatari sana, kama hao vijana wanaweza kuvamia eneo na kukaa masaa mawili na kuondoka bila bughudha yoyote hakuna haja ya kuwa na polisi, labda kila mtu ajiwekee ulinzi wake.
Point sana hiiiAlaumiwe aliyemrudisha makala kuwa rc na kumweka dar ilhali anajua kuwa hata katavi alishindwa
Kumbe chawa wewe ni mkazi wa mkoani?🤣Dar si tumeambiwa kila mtu anaishi masaki na oyster bay au? Kwani wengine mnaishi wapi?
Kwahiyo unataka Makalla ndiyo apambane na vibaka kwa mokno wake? Migwmbo si mnao mitaanj kwenu?Juzi kati kulikuwa na tukio Kinyerezi, jana kulikuwa na tukio Kawe na mtu mmoja aliuwawa, leo usiku huko Dovya Temeke watu wamekatwa mapanga mengi sana.
Mhe. Makala una sababu gani ya msingi kuendelea kuwa RC na Mkuu wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa mkoa wa Dar es Salaam?
Kwahiyo unataka Makalla ndiyo apambane na vibaka kwa mokno wake? Migwmbo si mnao mitaanj kwenu?
Ulinzi wa nchi hufanywa na wananchi wenyewe siyo viongoziAkipigwa panga mwanao wa kumzaa tutaona kama utapata nguvu ya kuandika huu utoto hapa
Nikija kuishi Dar ujue ni Masaki au Oyster bay sio huko ushuzini mnakoishi na mapanya roadKumbe chawa wewe ni mkazi wa mkoani?🤣
Ndio maana unaishi huko uliko kigoma ndani ndani, huna uwezo kuishi hata ManzeseNikija kuishi Dar ujue ni Masaki au Oyster bay sio huko ushuzini mnakoishi na mapanya road
Sasa naanzaje kuishi huko uswazi,Kigoma ndani ndani ni kama Mjini full kipupwe full mtandao full Bata nije kunakonuka kufanya nini huko Dar is big slum?Ndio maana unaishi huko uliko kigoma ndani ndani, huna uwezo kuishi hata Manzese
Arudi Makonda uone kama kutakuwa na Panyaroad au Panyamwendokasi!Naandika uzi huu kwa masikitiko makubwa.
Mhe. Amos Makala ukiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam na mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Dar es salaam.
Huu Mkoa ni kitovu cha biashara kwenye nchi hii, huu mkoa ndio una image kubwa ya nchi kibiashara, wageni zaidi ya 90% wako Dar es salaam.
Pamoja na mambo yote hayo mkoa huu ghafla umegeuka kuwa sio salama kabisa watu wanakatwa mapanga kila siku, hawa vijana wa Panyaroad wanavamia maeneo mbalimbali ya mkoa huu na kuua, kujeruhi, kuiba na kuharibu mali ambazo wananchi wamezitafuta kwa tabu.
Juzi kati kulikuwa na tukio Kinyerezi, jana kulikuwa na tukio Kawe na mtu mmoja aliuwawa, leo usiku huko Dovya Temeke watu wamekatwa mapanga mengi sana.
Mhe. Makala una sababu gani ya msingi kuendelea kuwa RC na Mkuu wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa mkoa wa Dar es Salaam?
Unaamka asubuhi unaenda ofisini kwa gari la watanzania, unawekewa mafuta, unalipwa vizuri, unapewa dereva, una PS una jeshi la Polisi, una JWTZ, una TISS, Fire, Magereza, immigration n.k ivi kweli umefeli Mheshimiwa?
Hawa vijana ni mpaka wamuue mwanao wa kumzaa ndio utajua kuna tatizo?
Mpaka wamuu mkeo ndio utajua kuna tatizo mkoani kwako?
Mheshimiwa Makala acha kuongea maneno marahisi, ingia kazini, tumia vyombo ulivyokabidhiwa watu katika mkoa huu hawana amani na wewe upo.
Kama unaona umefeli resign Mzee aje mtu mwingine hapa.
Nadhani huu mkoa upewe RC sawa na wale wenye sifa za ziada waliopo mikoa ya mipakani kama Mtwara, Kigoma n.k
Nawasilisha.
Makonda alimudu kuwaondosha Panyaroad na kurekebisha kero kibaaao mkampiga majungu hadi leo yupo benchi, ona leo mambo yako shaghalagabala DSM.Naandika uzi huu kwa masikitiko makubwa.
Mhe. Amos Makala ukiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam na mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Dar es salaam.
Huu Mkoa ni kitovu cha biashara kwenye nchi hii, huu mkoa ndio una image kubwa ya nchi kibiashara, wageni zaidi ya 90% wako Dar es salaam.
Pamoja na mambo yote hayo mkoa huu ghafla umegeuka kuwa sio salama kabisa watu wanakatwa mapanga kila siku, hawa vijana wa Panyaroad wanavamia maeneo mbalimbali ya mkoa huu na kuua, kujeruhi, kuiba na kuharibu mali ambazo wananchi wamezitafuta kwa tabu.
Juzi kati kulikuwa na tukio Kinyerezi, jana kulikuwa na tukio Kawe na mtu mmoja aliuwawa, leo usiku huko Dovya Temeke watu wamekatwa mapanga mengi sana.
Mhe. Makala una sababu gani ya msingi kuendelea kuwa RC na Mkuu wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa mkoa wa Dar es Salaam?
Unaamka asubuhi unaenda ofisini kwa gari la watanzania, unawekewa mafuta, unalipwa vizuri, unapewa dereva, una PS una jeshi la Polisi, una JWTZ, una TISS, Fire, Magereza, immigration n.k ivi kweli umefeli Mheshimiwa?
Hawa vijana ni mpaka wamuue mwanao wa kumzaa ndio utajua kuna tatizo?
Mpaka wamuu mkeo ndio utajua kuna tatizo mkoani kwako?
Mheshimiwa Makala acha kuongea maneno marahisi, ingia kazini, tumia vyombo ulivyokabidhiwa watu katika mkoa huu hawana amani na wewe upo.
Kama unaona umefeli resign Mzee aje mtu mwingine hapa.
Nadhani huu mkoa upewe RC sawa na wale wenye sifa za ziada waliopo mikoa ya mipakani kama Mtwara, Kigoma n.k
Nawasilisha.
Hzo sio kazi TISS. Yaan TISS waache kuhangaika na ishu kubwa za usalama wa nchi wahangaike na panya road. Polis ambao ndio walinzi wa mali na raia wanafanya kazi gani?