Gabeji
JF-Expert Member
- Sep 10, 2024
- 2,106
- 3,027
Ukifuatilia mikutano yote cha huyu Amosi Makalla, utujua kuwa huyu jamaa, anaipenda sana chadema, akilala, uck ,akila chakula, anaoga mda wote ana tamka chadema, chadema, hii inathibithibisha kwenye mikutano yake kila akisimama anasema sera za chadema.
Huu ndo ukweli mchungu CCM wote kama sio watanzania wote, wanataka mabadiliko ya kiumfumo, mawaziri wote, wanataka" No reforms No election" Ila kwasbb ya "njaaaaaa" huleta unafiki na unafiki unaleta usaliti, na usaliti unaleta utumwa wa nafsi, wanaishi lakin hawana amani kabisa na( CCM) ukiwangalia watu wote waliopo serikalini, wanaimbia kimoyomoyo No reform No election.
Ukizama rohoni sana utaona mpaka rais mstafu kikwete anaataka mabadiliko.
Mwaka huu ni mwaka uwaamsho ,mwaka wa second freedom kwa taifa letu pendwa la Tanzania.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Huu ndo ukweli mchungu CCM wote kama sio watanzania wote, wanataka mabadiliko ya kiumfumo, mawaziri wote, wanataka" No reforms No election" Ila kwasbb ya "njaaaaaa" huleta unafiki na unafiki unaleta usaliti, na usaliti unaleta utumwa wa nafsi, wanaishi lakin hawana amani kabisa na( CCM) ukiwangalia watu wote waliopo serikalini, wanaimbia kimoyomoyo No reform No election.
Ukizama rohoni sana utaona mpaka rais mstafu kikwete anaataka mabadiliko.
Mwaka huu ni mwaka uwaamsho ,mwaka wa second freedom kwa taifa letu pendwa la Tanzania.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.