PreGE2025 Amos Makalla: 'No Reforms No Election' yapigwa na CHADEMA, vyama vingine na Watanzania nao hawaitaki

PreGE2025 Amos Makalla: 'No Reforms No Election' yapigwa na CHADEMA, vyama vingine na Watanzania nao hawaitaki

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, CPA Amos Makalla amesema madai ya kwamba kauli ya "No Reforms, No Election" imepingwa na watawala si ya kweli, kwa kuwa kauli hiyo ilianza kupingwa ndani ya CHADEMA yenyewe kupitia kundi la G-55, kabla haijakataliwa na vyama vingine 17 vya siasa (ukiondoa CCM) vilivyoamua kushiriki uchaguzi.

Makalla amesema hayo Mei 23, 2025, katika jiji la Shinyanga wakati akihitimisha ziara ya kikazi ya siku saba kwenye mikoa ya Kanda ya Ziwa. Aidha, amesema hata Watanzania wameipinga kwa sababu wanajua umuhimu wa kushiriki uchaguzi.

 
''Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika amesema 'No Reforms, No Election' imepingwa na watawala, hiyo si kweli kwa sababu 'No Reforms, No Election' imeanza kupingwa ndani ya CHADEMA wenyewe kwa wenyewe kupitia group la G-55, baadaye ikaja kupingwa na vyama 17 vya siasa (ukiondoa CCM) vilivyoamua kushiriki uchaguzi, na Watanzania pia wameipinga kwa sababu wanajuwa umuhimu wa kushiriki uchaguzi" -Makalla

Ni sehemu ya kile alichokisema Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Taifa CPA Amos Makalla Mei 23.2025 Shinyanga, wakati akihitimisha ziara ya kikazi ya siku saba (7) kwenye mikoa ya Kanda ya Ziwa.

Msemaji wa CHADEMA kupitia majukwaa ya CCM ndugu Amos Makala
 
Mwambie handle ndege kukimbia na hela wanazotuibia mwaka huu.

Wanadhani Watanzania ni wapumbavu kama walivyo wao?
 
Makkala is among cursed creatures who have no room in any civilized society. He is born criminal, he nurtures criminality, he is for criminals.
 
Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, CPA Amos Makalla amesema madai ya kwamba kauli ya "No Reforms, No Election" imepingwa na watawala si ya kweli, kwa kuwa kauli hiyo ilianza kupingwa ndani ya CHADEMA yenyewe kupitia kundi la G-55, kabla haijakataliwa na vyama vingine 17 vya siasa (ukiondoa CCM) vilivyoamua kushiriki uchaguzi.

Makalla amesema hayo Mei 23, 2025, katika jiji la Shinyanga wakati akihitimisha ziara ya kikazi ya siku saba kwenye mikoa ya Kanda ya Ziwa. Aidha, amesema hata Watanzania wameipinga kwa sababu wanajua umuhimu wa kushiriki uchaguzi.

Jiji la shinyanga wwe utakua mfuass wa chauma sisi ccm hatuna watu wasiyojitambua kwa kiwango hchii
 
Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, CPA Amos Makalla amesema madai ya kwamba kauli ya "No Reforms, No Election" imepingwa na watawala si ya kweli, kwa kuwa kauli hiyo ilianza kupingwa ndani ya CHADEMA yenyewe kupitia kundi la G-55, kabla haijakataliwa na vyama vingine 17 vya siasa (ukiondoa CCM) vilivyoamua kushiriki uchaguzi.

Makalla amesema hayo Mei 23, 2025, katika jiji la Shinyanga wakati akihitimisha ziara ya kikazi ya siku saba kwenye mikoa ya Kanda ya Ziwa. Aidha, amesema hata Watanzania wameipinga kwa sababu wanajua umuhimu wa kushiriki uchaguzi.

For regular civil servants within ministries only:

In Tanzania, which ministries offer the highest salaries, bro—excluding the Ministry of TAMISEMI, TRA, and the Ministry of Defence?
 
k
Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, CPA Amos Makalla amesema madai ya kwamba kauli ya "No Reforms, No Election" imepingwa na watawala si ya kweli, kwa kuwa kauli hiyo ilianza kupingwa ndani ya CHADEMA yenyewe kupitia kundi la G-55, kabla haijakataliwa na vyama vingine 17 vya siasa (ukiondoa CCM) vilivyoamua kushiriki uchaguzi.

Makalla amesema hayo Mei 23, 2025, katika jiji la Shinyanga wakati akihitimisha ziara ya kikazi ya siku saba kwenye mikoa ya Kanda ya Ziwa. Aidha, amesema hata Watanzania wameipinga kwa sababu wanajua umuhimu wa kushiriki uchaguzi.

ama yeye haitaki wengine tunaitaka na tunasema NO REFORM NO ELECTION.
 
Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, CPA Amos Makalla amesema madai ya kwamba kauli ya "No Reforms, No Election" imepingwa na watawala si ya kweli, kwa kuwa kauli hiyo ilianza kupingwa ndani ya CHADEMA yenyewe kupitia kundi la G-55, kabla haijakataliwa na vyama vingine 17 vya siasa (ukiondoa CCM) vilivyoamua kushiriki uchaguzi.

Makalla amesema hayo Mei 23, 2025, katika jiji la Shinyanga wakati akihitimisha ziara ya kikazi ya siku saba kwenye mikoa ya Kanda ya Ziwa. Aidha, amesema hata Watanzania wameipinga kwa sababu wanajua umuhimu wa kushiriki uchaguzi.

Amefanya research kiasi Gani mpaka aje. Na majibu kuwa watanzania hawaitaki.
 
Back
Top Bottom