Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,605
- 220,421
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Amos Makalla ametetea machawa wa CCM kwamba ni watu wazuri ambao uchawa wao ni sehemu ya Shukrani.
Zaidi soma hapa
===========
leo Jumanne Mei 7, 2024 akifanya mahojiano maalumu na waandishi na wahariri wa kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) alipotembelea ofisi za kampuni hiyo Tabata Relini jijini Dar es Salaam.
"Utamaduni wa kibinadamu, mtu akifanya vizuri anatakiwa ashukuriwe. Ndicho kinachotokea kwa Rais Samia Suluhu Hassan, kumshukuru, kupongeza ni utamaduni wa kibinadamu, huwezi kuwanyamazisha Watanzania kumshukuru, huwezi kuwaratibu, suala la uchawa huu wa kushukuru hatuwezi kuwafunga midomo wananchi," amesema Makalla.
Hata hivyo, Makalla amesema wanaendelea kuchunguza athari ya suala hilo na atakaa na timu yake kulichunguza kwa kina.
Mwananchi
Zaidi soma hapa
===========
leo Jumanne Mei 7, 2024 akifanya mahojiano maalumu na waandishi na wahariri wa kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) alipotembelea ofisi za kampuni hiyo Tabata Relini jijini Dar es Salaam.
"Utamaduni wa kibinadamu, mtu akifanya vizuri anatakiwa ashukuriwe. Ndicho kinachotokea kwa Rais Samia Suluhu Hassan, kumshukuru, kupongeza ni utamaduni wa kibinadamu, huwezi kuwanyamazisha Watanzania kumshukuru, huwezi kuwaratibu, suala la uchawa huu wa kushukuru hatuwezi kuwafunga midomo wananchi," amesema Makalla.
Hata hivyo, Makalla amesema wanaendelea kuchunguza athari ya suala hilo na atakaa na timu yake kulichunguza kwa kina.
Mwananchi