Amos 5 17*E Imegoma?

Amos 5 17*E Imegoma?

1954tanu

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
1,038
Reaction score
487
Jamani nina siku 5 sasa sipati na siangalii TV, chaneli zote hakuna. Natumia QSat Q15G kusimbua chaneli muhimu za bongo, kwa sasa dunia imekuwa mbali kwangu.

Nijulisheni kulikoni?
 
kwa ninavyofahamu mimi,kuna tatizo katika satellite husika ndugu
 
Sio tatizo tu kaka hii kitu toka tarehe 24 imepotea na kuelekea kusiko julikana katika anga la mbali usawa wa kama km33000 toka usawa wa bahari kuna customers wengi sana ambao hadi sasa hawana mawasiliano baada ya hii kitu kupotea ndiyo maana Continental sasa wanahaha kupata satellite ingine...yaan ni kisanga
 
Rip Amos 5. jaribu kugeuza dish kule intelsat 906
 
Kama inavyojieleza hapo juu hii kitu baada ya kukaa angan kwa miaka mingi sana hatimaye imepotea na kuelekea kusikojulikana, wataalamu na wadadis wa mambo had sasa hawajatoa ni nini chanzo hadi kupotea na kutoenekana kabisa.....basi tuendelee na mada hii mototo
 
Amos 5 imepotelea anganinkm 30000 huko jiandaeni kuhamia satelite nyingine... Hii imeathiri mpaka decoder ya continental....
 
Kwa historia satellite ikipoteza contact nd not recovered within 30 min then it's for good hivo basi Amos haipo tena ndo maana wamiliki wake wafaransa wanategemea kuzindua Amos 6 mwanzoni 2016 na tv nyingine za kinigeria zilizokuwa zinarusha matangazo yao kupitia amos 5 wameanza kuhamia ses 5
 
Thanks all.Yamkini Amos 5 imefikia ukomo wa maisha yake.
 
Nyingi ya satellite za gps na mawasiliano ya tv huruka umbali wa km 36000 toka uso wa dunia. Satellite hizi zina ukomo wa miaka 12 tu. baada ya hapo hupoteza mwelekeo. Nyingine hulipuka na kusambalatika angani.
 
Sure 906 is available with sports, news and Atlantic as new edition
 
Nyingi ya satellite za gps na mawasiliano ya tv huruka umbali wa km 36000 toka uso wa dunia. Satellite hizi zina ukomo wa miaka 12 tu. baada ya hapo hupoteza mwelekeo. Nyingine hulipuka na kusambalatika angani.

Uongo mweupe.
 
Uongo mweupe.

Ukweli uujuao wewe ni upi?

Mimi nimetafuta majibu mtandaoni.

Best Answer: The life span of satellites depends largely on their size , or to be precise , it depends on how much liquid fuel they carry aboard , the liquid fuel is used to operate small rocket engines , the rocket engines are very important for the satellite (there are three types of forces acting on the satellite in space causing the satellite to deviate from its course) , the ground station on earth uses these small rockets to perform maneuvers necessary to keep the satellite in the same position in the sky (usually they perform two maneuvers every two weeks, north-south maneuver & east-west maneuver)so we can direct our antenna's here at earth(parabolic reflectors or dish) to this specific point in space & receive the broadcasted TV & radio channels & also to send telecommands from the ground station on earth to control the satellite , otherwise we need a special type of antenna's (half a billion US$ each) to track & locate the satellite , the largest satellites out there are the communication satellites (tv,radio,telephony) & they use the geostationary orbit (about 36,000 km above sea level & above the equator) & i should note that the satellite orbit around the earth depends on the speed of the satellite , once the satellite is delivered to its orbit by the rocket it was carried on, the satellite will take that orbit speed , comm. sat. also have the longest life span (it's a round 20yrs these days) , before the satellite runs out of fuel , the ground station performs one last maneuver to send the satellite to a place called (the satellite graveyard) , it's an orbit around the earth used to retire old useless satellites & they become junk on space , a growing problem , this is when in it come to satellites using the geostationary orbit , for satellites using lower orbits they may be put on re-entry course so they burn before they reach the earth.

Source(s):I'm a telecommunication engineer & i studied satellite communication for a hole semester back in college , i hope i answered ur question.


https://answers.yahoo.com/question/index?qid=20071125033005AAaEhM1

JIBU LINGINE HILI:

Of course, a satellite needs a bit of propellant to reach a disposal orbit, a fact that limits the life span of some satellites. Even if all of the electronics and moving parts on the DirecTV satellite are still functioning after 12 years, it will still need to be decommissioned before it runs out of fuel.

For satellites that operate at lower altitudes (including those used for surveillance and GPS), a trip up to disposal orbits may not be necessary. Orbits tend to decay over time, at a rate determined by the initial altitude. Anything above 2,000 km will take millennia to return to Earth, while satellites further down might take centuries or decades. A satellite that starts out in a low orbit can be maneuvered downward to ensure that it falls from space in a reasonable amount of time. NASA recommends that low-altitude derelicts be brought close enough to the Earth to return within 25 years. The satellite's operator could also decide that it would be more energy efficient to push it up to a disposal orbit above 2,000 km.

When a satellite falls out of orbit, between 10 percent and 40 percent of its mass survives re-entry. Hundreds of objects from orbit do hit the surface of the Earth at random locations every year, but no one has ever been reported injured or killed by falling space debris.

Source:Where satellites go when they die.
 
Kwa historia satellite ikipoteza contact nd not recovered within 30 min then it's for good hivo basi Amos haipo tena ndo maana wamiliki wake wafaransa wanategemea kuzindua Amos 6 mwanzoni 2016 na tv nyingine za kinigeria zilizokuwa zinarusha matangazo yao kupitia amos 5 wameanza kuhamia ses 5

Eurocom ni ya Ulaya, lakini AMOS zote zinaendeshwa na Spacecom ya Israel. Iliwekwa into orbit Dec 2011
 
Eurocom ni ya Ulaya, lakini AMOS zote zinaendeshwa na Spacecom ya Israel. Iliwekwa into orbit Dec 2011


Naona channels nyingi zilizokuwa amos zimeisha Anza hamia ses 5 check hii link www.lyngsat.com
 
Back
Top Bottom