DaveSave
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 440
- 634
Kuna viongozi wengi ambao niliwaamini kwa nguvu
waliotoka nayo mtaani,na matatizo wanayo yajua ya
vijana,lakini hamuwezi kuamini hii nchi inaongozwa
kwa misingi ambayo vyama vyote vinafata hiyo
misingi,so siwezi kushangaa m2 kama Zito Kabwe
kuwa mdogo katika maamuzi,sinto shangaa siku kuona Mbowe kavaa nguo ya kijani na njano,hizi ni
chambi chambi2 za kuwafanya wanchi wawe na
matumaini,ila hakuna chama kitakacho weza kuitoa
ccm madarakani kwa sababu wao wenyewe ni
ccm,kweli unaweza kupata matumaini ila kumbuka
kila jambo linakuwa limepangwa kiufupi game ya siasa bongo ni KARATA3,si shangai kuona Ruge na
Sugu kuifata misingi hii,sikulazimishi uniamini ila
kama unaweza niamini,sinto shangaa kuona walio
hujumu nchi kuendelea kuitwa
waheshimiwa....mackini wanaitwa majambazi na
kuuliwa au kufungwa ila kwa vingozi wanaitwa mafisadi kwanini lisitumike jina moja mana hawa
wapo njia moja ya utendaji dhambi...wanaongea
Bungeni utekelezaji wa majimbo mdogo,wanaongea
na wanawake utekelezaji wa ngono ni
mkubwa,sinto shangaa kuckia kila kiongozi anakufa
na shinikizo la dam,vijana tufanyeni kazi,kama tunaweza tusome zaidi kama mishe mishe tuzifanye
zaidi ila usipoteze muda kwa issue ya siasa NI
MTAZAMO WANGU TU!!!!
By Rama Dee
waliotoka nayo mtaani,na matatizo wanayo yajua ya
vijana,lakini hamuwezi kuamini hii nchi inaongozwa
kwa misingi ambayo vyama vyote vinafata hiyo
misingi,so siwezi kushangaa m2 kama Zito Kabwe
kuwa mdogo katika maamuzi,sinto shangaa siku kuona Mbowe kavaa nguo ya kijani na njano,hizi ni
chambi chambi2 za kuwafanya wanchi wawe na
matumaini,ila hakuna chama kitakacho weza kuitoa
ccm madarakani kwa sababu wao wenyewe ni
ccm,kweli unaweza kupata matumaini ila kumbuka
kila jambo linakuwa limepangwa kiufupi game ya siasa bongo ni KARATA3,si shangai kuona Ruge na
Sugu kuifata misingi hii,sikulazimishi uniamini ila
kama unaweza niamini,sinto shangaa kuona walio
hujumu nchi kuendelea kuitwa
waheshimiwa....mackini wanaitwa majambazi na
kuuliwa au kufungwa ila kwa vingozi wanaitwa mafisadi kwanini lisitumike jina moja mana hawa
wapo njia moja ya utendaji dhambi...wanaongea
Bungeni utekelezaji wa majimbo mdogo,wanaongea
na wanawake utekelezaji wa ngono ni
mkubwa,sinto shangaa kuckia kila kiongozi anakufa
na shinikizo la dam,vijana tufanyeni kazi,kama tunaweza tusome zaidi kama mishe mishe tuzifanye
zaidi ila usipoteze muda kwa issue ya siasa NI
MTAZAMO WANGU TU!!!!
By Rama Dee