Amka sasa nimeingia kuwaamsha

Amka sasa nimeingia kuwaamsha

Jaman Imetosha Ase Mbona Mna Mpga Mande Ivo! Mpen Ata Nafas Akanywe Hata Glass Ya Maji At
 
Baada ya kuwa msomaji mkubwa wa jukwaa hili la MMU, nimegundua muda mwingi wa watu unaishia katika kuwaza mapenzi tu,
​we nawe unaota sasa ulitaka MMU wajadili ukatili wa ISIS???humu ni kungonoka kwa kwenda mbele
 
Join Date : 4th February 2015

Posts : 10
Rep Power : 303
Likes Received 2

Likes Given 1


Jamani msijichoshe.... dogo anatafuta promo humu
 
Haya ni kati ya madhara ya smartphone kutumiwa na wanafunzi wa primary.
Waziri si alikataza wanafunzi wa primary na secondary kutukia sim, wewe umeingiaje na simu shuleni????????

 
we kwenye account yako kwani kuna shilingi ngapi?
 
sasa jukwaa lenyewa la mapenz ww hutak tuonge mapenz sasa tukaongelee wap joh em tuambie mzee waku amsha walio macho
 
Back
Top Bottom