ni wazi we ni mlevi hapa si FB rudi ukalale ukiamka utatambua what i meanUmekosa jambo la maana la kuwasilisha hapa Fb? Unaanza majungu ya kuangalia maisha ya watu badala ya kushughulika na issue zinazotusumbua sasa? Hebu acha uchochezi na fitina za kijinga kabisa. Nimechukia kusoma hoja ya namna hii kutoka kwa mtu nilliyedhani ana akili kama wewe.
Hata uniite mlevi ni sawa tu ila ukweli unabaki pale pale wewe ni mchochezi na unajadili mtu kwenye JF wakati kuna issue muhimu za kitaifa zinazohitaji kushughulikiwa. Wewe una tofauti gani na mchawi? Wewe una tofauti gani na wale wanaoua vikongwe kwa kuwa tu mtu ana umri unaodai ni mkubwa basi asiaminiwe? hebu tumia akili yako ya kawaida nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri.ni wazi we ni mlevi hapa si FB rudi ukalale ukiamka utatambua what i mean
<br>
<br><br>Wakuu japo kuwa ni senseless kutoa hoja isiyo na ushahidi, nathubutu kukubali hoja hii kwakuwa tunajua huyu mzee alikuwa nani na kamwe huwa hawaachi kazi zao za ushushushu mpaka kifo. kwa mjibu wa maadilili ya kazi yao hawatakiwi kuisaliti serikali.Nina hofu na huyu mzee wetu kwani simtofautishi na Mrema kwakuwa wote ni mashushushu japokuwa wamo na akina MM.Naamini ni vigumu vyama vya upinzani kukua hapa nchini kwani C C M inatumia kila mbinu kuwamaliza
Unawezaje kutokumwamini Marando ambaye ni Wakili na Ukamwamini Mkapa ambaye alikwenda Mahakamani kumtetea Costa Mahalu. Vilevile Unamwaminije JK ambaye akiwa Waziri wa mambo ya Nje alitoa taarifa bungeni kuwa mchakato wa ununuzi wa jengo la Ubalozi lilifuata taratibu.Utamwaminije mtu ambaye alikuwa wakili wa profesa mahalu na mahalu akashinda wkt mahalu ni mtu ambaye alitutia hasara kwa kufanya matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kwahiyo.Marando na mvua koti la uana harakati ninamvisha koti la usalit hatufai kabisa cdm.
Kama chama hakina maovu kwa usalama wa Tanzania mnamhofia nini?labda kama mna agenda zisizokubalika kwa jamii ndio mhofie
Yaani wewe nde umempumbaza mleta mada kabisaaaaaaaBasi Kingunge naye ndiye mbaya wa ccm kwani ukiangalia anaweza kuwa na umri mkubwa kuliko unavyoweza kufikiri.
Wengi wa hawa jamaa wanaojifanya kumjua Marando, akili yao haina kitengo cha kufanya reversion ya matukioUnawezaje kutokumwamini Marando ambaye ni Wakili na Ukamwamini Mkapa ambaye alikwenda Mahakamani kumtetea Costa Mahalu. Vilevile Unamwaminije JK ambaye akiwa Waziri wa mambo ya Nje alitoa taarifa bungeni kuwa mchakato wa ununuzi wa jengo la Ubalozi lilifuata taratibu.