Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,299
- 33,079
- Thread starter
- #21
Ninahisi hapa ni nigeria naona sura za Nguvu karibu zote hizi.......
Ninahisi hapa ni nigeria naona sura za Nguvu karibu zote hizi.......
Nasali nitakupigia baadae nipo kwenye sala nitakupigia baadae
<tbody>
</tbody>
:lol:oa
Akamuulize Ray, haya mambo ya kugusa uumini haya.
Nasali nitakupigia baadae
nipo kwenye sala nitakupigia baadae
<TBODY>
</TBODY>
:lol:oa
Mkuu Denis Kasekenya Uamsho wakiona hii picha wataanza kuandamana huko mjini unguja kazi kweli ipo hapo..............Unatafuta ugomvi na UAMSHO?
hizo zitakuwa kamera maarumu za msikitini!sasa mpiga picha nae aliingiaje mskitini? Na alikua hasujudu yeye?
kwani ni maigizo au ualisia?akamuulize ray, haya mambo ya kugusa uumini haya.
Kwanini wamkamate?wangemkamata hulyu jamaa sijui angeeleza nin
Mkuu amini usiamini watu wengi siku hizi wanafanya mzaha kwenye nyumba za ibada!Kwa hiyo wenzie walipokuwa wanasema ile swala ya pamoja ya "takibir" yeye ananongoneza kwenye simu "nitakupigia baadae". Kweli hii nayo kali!
Mkuu hayo maneno yote umeyatoa wapi wakati hii ni picha mgando?mmeanza kuleta muvi zenu za teenegers....huyo dogo kwanza ndo alikuwa kilaza kuliko wenzake wote na wala alikuwa hasali.. Kwenye matukio mengine..anainama anainuka wenzake wakimuita anitika.
Mkuu umejua kama ameipa kibla mgongo?Hata hivyo inaonekana ameipa mgongo KIBLA.Alikuwa na issue zake nyingine tu huyo.
Dunia inaelekea mwisho!Dah... Iyo hatari.. Mwengine anatoka nje, anaingia chooni, anavutia fegi huko chooni, halaf anarudi ndani ibadani.
Hasa watu wa dini yangu. Wanavutaga sana fegi chooni .
Dini zote mkuu,siku hizi watu hawamuheshimu mungu kabisa!Kwa wazee wa 'ubwabwa' hiyo ni kawaida sana.
Duh!Jazba zimeshaanza,mimi sasa naondoka!Wacha uongo na kuharibu dini za watu kwa maoni yako potofu.
Precisely mkuu!ndo ujue sasa kama hilo limewezeka ni meng hayaonekan
Teh teh teh! Mkuu angalia usije ukakatwa hiyo shingo yako!Hii ni joke Mkuu sio kweli hahahahahahahhhahahah hii ni Photoshop