Amina kajiharibia mwenyewe

Amina kajiharibia mwenyewe

Hajui kujieleza,hana confidence anajichanganya hafai kutuongoza
Kimsingi alipotea kabisa hakujua anastahili kuzungumza nini, alikuwa km kastukizwa! Sifa na usomi wake vikapotezwa na woga ama kutojiamini!
 
Mwanamke hana sifa za kuwa kiongozi kwenye taifa lolote lile....na muendelezo wa kuwachagua wanawake watuongoze baada ya kutunza familia ni dalili za mwisho wa dunia kwani mwanamke ni kiumbe dhaifu sana na hata yeye mwenyewe analijua hilo.....
 
Mwanamke hana sifa za kuwa kiongozi kwenye taifa lolote lile....na muendelezo wa kuwachagua wanawake watuongoze baada ya kutunza familia ni dalili za mwisho wa dunia kwani mwanamke ni kiumbe dhaifu sana na hata yeye mwenyewe analijua hilo.....

Poor reasoning... Reasoning of the lowest thinking capacity
 
Siasa ni mchezo mchafu sana..
Yaani kama huna elements za kinafiki, usaliti , ubinafsi na ujanja ujanja utakuwa wa kulizwa tuuu...

Unatakiwa ujue mwenzako atawaza nini kabla ajawaza..
 
Sorry kwa nitakaowakwaza..
Ila hili taifa lilipofikia halihitaji mwanamke aisee...
La sivyo nchi itauzwa kabisa
 
Sorry kwa nitakaowakwaza..
Ila hili taifa lilipofikia halihitaji mwanamke aisee...
La sivyo nchi itauzwa kabisa

Wewe nae hebu tutolee zile mila kandamizi za wachagga dhidi ya wanawake hapa.
Wewe mbona umezaliwa na mwanamke, mama yako alikuuza hadi useme kua Amina akiwa Rais nchi itauzwa?
 
Sorry kwa nitakaowakwaza..
Ila hili taifa lilipofikia halihitaji mwanamke aisee...
La sivyo nchi itauzwa kabisa

Toka nchi ipate Uhuru tunaongozwa na wanaume, wamefanya nini cha ajabuu, si ndo hao waliotutoa KULEEE na KUTULETA HAPAAAA....Ni zamu yetu hebu tuacheni....
 
Mkuu wewe hujui siasa, hii ni game, lazima uangalie mtaji wa wapiga kura uko wapi, kama ni kwa Fisadi basi kujipendekeza ni Lazima.

Mkuu nakukubali kwa kusoma alama za Nyakati. Ilibidi afanye hivyo badala ya kujipendekeza kwa Membe aliyepata kura 120 kati ya 1090
 
Kusoma Alama za nyakati kunahusika sana hasa katika kipindi hiki

Hayaaaa sie yetu macho
 
Mwanamke hana sifa za kuwa kiongozi kwenye taifa lolote lile....na muendelezo wa kuwachagua wanawake watuongoze baada ya kutunza familia ni dalili za mwisho wa dunia kwani mwanamke ni kiumbe dhaifu sana na hata yeye mwenyewe analijua hilo.....

and this includes your mother,..unajua our comments/ideas/suggestions lie from. what we observe and what we learn from our onservations, inasikitisha kwamba in all your years of life hiki ndicho ulichojifunza from your observations
 
Magufuli kura 1560.

Migiro kura 702.

Amina kura 349
Not confirmed by M/kiti...
 
Mwanamke hana sifa za kuwa kiongozi kwenye taifa lolote lile....na muendelezo wa kuwachagua wanawake watuongoze baada ya kutunza familia ni dalili za mwisho wa dunia kwani mwanamke ni kiumbe dhaifu sana na hata yeye mwenyewe analijua hilo.....
Mkuu umenena, ni kitu kisijo cha kawaida kwamba wanaume sasa majukumu yetu hatuyawezi sasa tunawakabidhi wanawake
 
Hivi Amina ana mume au mabwana tu. Je alishawahi kuzaa mtoto kama wanawake wengine ???
Mbona anabebwa sana ? au ni mtoto wa muasisi mmoja ?
 
Wakati mwingine mtu unapo kuwa wa kwanza kilingeni ni kama umetolewa kafara

-Chances are
; utajichanganya (sana ama kias)
 
Wanawake hawapendani wao kwa wao ndio udhaifu wao mkubwa ,wanaoneana gere mtu kaleta wan awake 2 mums mmoja laminitis meme salute mwenzenu Kabwe hamtapata raha tena mp aka mtakapofunguka, an kchukua hatua
 
Back
Top Bottom