Dongo La Kiemba mimi sio gamba kama hao mamburula hapo Dodoma, sina muda wa kujipendekeza kwa yoyote.
Kikwete alishawaambia wanaCCM kuwa wanawake ni watu wa kuwezeshwa, sasa kawabeba wawili mpaka Halmashauri kuu, kisha wanawake wakabebwa na Fisadi Lowassa mpaka Mkutano mkuu, sasa tatizo liko wapi kama wataamua kusafiria Nyota za Mafisadi.
I can see mama kutoka Zanzibar akishinda kwa msaada wa kura za kundi la Lowasa,..strategically ccm itakuwa na mgombea weak kabisa,then Lowasa can go to any opposition party na kushinda kirahisi.