TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,891
- 11,288
Nimeona mitazamo tofauti mingine mizuri, mingine 50/50 na mingine inasikitisha. Kuna ambao wamekasirishwa sana na kitendo cha huyu kijana kiasi cha kushindwa kufikiri logically! Kabla ya kumshushia kila aina ya maneno kijana huyu, je ni kweli nyie sio wazinzi? Je ni kweli kati yenu mliomporomeshea maneno makali hamjawahi kuwa na mahusiano na walio katika ndo? Labda sababu kuu ya wengi wenu kuandika mliyoandika ni kutokana na nyinyi wenyewe kuwa katika ndoa na mmejiweka katika nafasi ya nyinyi kuibiwa, sasa kutokana na kutawaliwa na wivu mmehisi kuguswa na kuumizwa! Ningependa kushauri, safari nyingine msichague upande na mjaribu kufikiri logically by looking at the sitution in 3D. Shukrani kwa wale ambao wamejaribu kuangalia pande zote.
Kwa kuwa mimi ni mzinzi au mpumbavu, hainiondolei upumbavu wangu simply kwa kuacha kumuita mpumbavu mwenzangu hivyo... we dare talk openly!!! Manake ni kwamba kama ni upumbavu basi tutauita hivyo hata kama mimi pia naufanya kwani mimi pia ni mpumbavu
Mpumbavu ni mtu aliyepumbaa, soma kamusi utaelewa maana zaidi, mpumbavu ni clueless!!!
Kama na mimi nafanya haya, basi na mimi ni mpumbavu
Lets call a spade a spade and not a big spoon