wana JF,
Kuna jirani yangu ambaye alikuwa anauhusiano wa kimapenzi na mke wa mtu. Ameniambia kwamba mwanamama huyo ndiye aliye mshawishi wawili hao wawe wapenzi bila kujali mumewe (ndoa yake). Baada ya miezi 5 mwanamama huyo alipata ujauzito na alipojifungua mtoto alifanana kabisa na rafiki yangu. Mume wa mwanamke wala hakuhoji!!
Baada ya muda wapenzi hao waliendelea na kamchezo! Mama huyo akapata ujauzito tena na mtoto wa pili alifanana na huyu rafiki yangu! Huyu rafiki yangu yeye aliogopa na kuamua kuhama mji kwani alihofia usalama wake kwa mume wa yule mwanamama.
Alikaa mkoa wa jirani takribani miaka mi tano! Rafiki yangu huyo baada ya muda alirejea tena jijini Arusha na kukuta katika kipindi chote hicho yule mwanamama na mumewe hawajapata mtoto mwingine.
Yule mwanamama alianza tena tabia yake kwa kumhakikishia kwamba mumewe hana tatizo na hawezi jua kuhusu uhusiano wao! Punde yule mama akashika ujauzito! Alipojifungua mtoto wa tatu alifanana sana na huyu rafiki yangu.
Ndipo huyu rafiki yangu aliamua kufuatilia kwakaribu ili ajue undani zaidi na ndipo alipogungua kwamba mwanamama huyo na mumewe walikuwa wamepanga mchezo wote kwani jogoo la mumewe 'haliwiki'
Sasa wana JF, huyu kijana hajaoa lakini anauhakika wa 100% kwamba watoto wale watatu ni wake...
Je, anayohaki ya kuwadai watoto hao kuwa ni wa kwake?
Je, afanyeje ili aweze kutendewa haki?
Okay, kama jamaa ni mpumbavu, huyo mwanamke aliye mke wa mtu aitweje?
Au yeye hana kosa kabisa kwa sababu yeye ni mwanamke na ni mke wa mtu na hivyo mwenye kosa hapo ni huyo jamaa aliyezini (na kuzaa na mke wa mtu na si kumzalisha) na mke wa mtu?
Okay, kama jamaa ni mpumbavu, huyo mwanamke aliye mke wa mtu aitweje?
Au yeye hana kosa kabisa kwa sababu yeye ni mwanamke na ni mke wa mtu na hivyo mwenye kosa hapo ni huyo jamaa aliyezini (na kuzaa na mke wa mtu na si kumzalisha) na mke wa mtu?
wana JF,
Kuna jirani yangu ambaye alikuwa anauhusiano wa kimapenzi na mke wa mtu. Ameniambia kwamba mwanamama huyo ndiye aliye mshawishi wawili hao wawe wapenzi bila kujali mumewe (ndoa yake). Baada ya miezi 5 mwanamama huyo alipata ujauzito na alipojifungua mtoto alifanana kabisa na rafiki yangu. Mume wa mwanamke wala hakuhoji!!
Baada ya muda wapenzi hao waliendelea na kamchezo! Mama huyo akapata ujauzito tena na mtoto wa pili alifanana na huyu rafiki yangu! Huyu rafiki yangu yeye aliogopa na kuamua kuhama mji kwani alihofia usalama wake kwa mume wa yule mwanamama.
Alikaa mkoa wa jirani takribani miaka mi tano! Rafiki yangu huyo baada ya muda alirejea tena jijini Arusha na kukuta katika kipindi chote hicho yule mwanamama na mumewe hawajapata mtoto mwingine.
Yule mwanamama alianza tena tabia yake kwa kumhakikishia kwamba mumewe hana tatizo na hawezi jua kuhusu uhusiano wao! Punde yule mama akashika ujauzito! Alipojifungua mtoto wa tatu alifanana sana na huyu rafiki yangu.
Ndipo huyu rafiki yangu aliamua kufuatilia kwakaribu ili ajue undani zaidi na ndipo alipogungua kwamba mwanamama huyo na mumewe walikuwa wamepanga mchezo wote kwani jogoo la mumewe 'haliwiki'
Sasa wana JF, huyu kijana hajaoa lakini anauhakika wa 100% kwamba watoto wale watatu ni wake...
Je, anayohaki ya kuwadai watoto hao kuwa ni wa kwake?
Je, afanyeje ili aweze kutendewa haki?
Mkubwa Inawezekana jogoo akawa anawika na unamwaga mbegu lakini mbegu zikawa ni week.., haziwezi kurutubisha yai kwa kitaalamu wanaita oligospermia teh teh
Nashawishika kuamini kuwa jamaa na mke wake walipanga mchezo mzima ila kimbembe kipo kwa jamaa akijaribu kudai watoto..kwanza atakuwa na case ya kutembea na mke wa mtu kwa makusudi.Pili huyu mwenye mke hasira zote za kutoweza kumpa mke wake mimba ukichanganya na aibu ya kudhalilika katika jamii vitamfanya afanye everything in his power kumlostisha jamaa yako..it is better jamaa akae kimya..you never know what kids will do once they grow upwana JF,Kuna jirani yangu ambaye alikuwa anauhusiano wa kimapenzi na mke wa mtu. Ameniambia kwamba mwanamama huyo ndiye aliye mshawishi wawili hao wawe wapenzi bila kujali mumewe (ndoa yake). Baada ya miezi 5 mwanamama huyo alipata ujauzito na alipojifungua mtoto alifanana kabisa na rafiki yangu. Mume wa mwanamke wala hakuhoji!!Baada ya muda wapenzi hao waliendelea na kamchezo! Mama huyo akapata ujauzito tena na mtoto wa pili alifanana na huyu rafiki yangu! Huyu rafiki yangu yeye aliogopa na kuamua kuhama mji kwani alihofia usalama wake kwa mume wa yule mwanamama.Alikaa mkoa wa jirani takribani miaka mi tano! Rafiki yangu huyo baada ya muda alirejea tena jijini Arusha na kukuta katika kipindi chote hicho yule mwanamama na mumewe hawajapata mtoto mwingine.Yule mwanamama alianza tena tabia yake kwa kumhakikishia kwamba mumewe hana tatizo na hawezi jua kuhusu uhusiano wao! Punde yule mama akashika ujauzito! Alipojifungua mtoto wa tatu alifanana sana na huyu rafiki yangu.Ndipo huyu rafiki yangu aliamua kufuatilia kwakaribu ili ajue undani zaidi na ndipo alipogungua kwamba mwanamama huyo na mumewe walikuwa wamepanga mchezo wote kwani jogoo la mumewe 'haliwiki'Sasa wana JF, huyu kijana hajaoa lakini anauhakika wa 100% kwamba watoto wale watatu ni wake...Je, anayohaki ya kuwadai watoto hao kuwa ni wa kwake?Je, afanyeje ili aweze kutendewa haki?
Nimeguswa sana na suala hili
Sitaki kurudia yote ya wachangiaji wenzangu ila, kitendo cha kutembea na mke/mume wa mtu bila kinga kwa karne hii ni sawa na kujitupa baharini wakati hujui kuogelea. Sijui hata nimuite jina gani????
Ila cha msingi hapa; Kijana Anapaswa aende kwenye vitabu vya dini na vya sheria za nchi hii..aulizie Ndoa maana yake ni nini? Huwezi kudai watoto kwenye ndoa ya mtu. Faida yako hapo umekula uroda wa bureee bila kuutolea matumizi.
Mimi naku hurumia kwani sijui ni kabila gani unayepambana naye ila kama ni haya ya huku kwetu ukifanya mchezo...tutakubadilishia jina at no time.
kama unajipenda don't dare! Utajutia maisha yako yote kama utabahatika kuwa hai!!!