King_Villa
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 575
- 378
Habari wakuu.
Kuna kijana wangu Mmoja alieñifundisha maswala ya mahusiano na namna nzuri ya kupata mwanamke .
Alinipa basic step mwanzo mpaka mwisho unapewa mzigo
Nakumbuka nilikua na tabia nzuri zamani lakini baada ya kuwa na urafiki na huyu jamaa Tabia Yangu ilibadilika na alinifundisha mambo mengi ambayo mengi yalijikita kwenye anasa .
Hasa habari za wanawake na namna ya kunasa warembo na kiukweli jamaa alikuwa ameiva mpaka nikahisi anatumia madawa .kwasababu kuna wakati alikuwa analala na wanawake wanne tofauti Kwa siku huku akaniambia nishuhudie kwenye eneo la siri.
Nilijaribu kuiga hiyo tabia lakini sikufika level zake kutokana na kuwa jamaa alikuwa na vijisenti na alibarikiwa uongo.
Lakini aliniambia kuwa yeye katika bikra zote alizotoa damu huwa haitoki na akaniambia
(Nanukuu kidogo)
" bikra hata siku moja haitoi damu ,Mimi nilivyoanza hii michezo nilitoa damu bikra mbili tu na ilikuwa mwanzoni zingine zote huwa natumia ufundi mkubwa damu haitoki .
Ukiskia mtu anajitapa kutoa damu ujue huyo hajui."
Hayo yalikuwa maneno yake .
Ila sijui kama analosema Ni kweli .ila kama ni kweli wengi wanakosea.
Hii ikoje wadau.
Kuna kijana wangu Mmoja alieñifundisha maswala ya mahusiano na namna nzuri ya kupata mwanamke .
Alinipa basic step mwanzo mpaka mwisho unapewa mzigo
Nakumbuka nilikua na tabia nzuri zamani lakini baada ya kuwa na urafiki na huyu jamaa Tabia Yangu ilibadilika na alinifundisha mambo mengi ambayo mengi yalijikita kwenye anasa .
Hasa habari za wanawake na namna ya kunasa warembo na kiukweli jamaa alikuwa ameiva mpaka nikahisi anatumia madawa .kwasababu kuna wakati alikuwa analala na wanawake wanne tofauti Kwa siku huku akaniambia nishuhudie kwenye eneo la siri.
Nilijaribu kuiga hiyo tabia lakini sikufika level zake kutokana na kuwa jamaa alikuwa na vijisenti na alibarikiwa uongo.
Lakini aliniambia kuwa yeye katika bikra zote alizotoa damu huwa haitoki na akaniambia
(Nanukuu kidogo)
" bikra hata siku moja haitoi damu ,Mimi nilivyoanza hii michezo nilitoa damu bikra mbili tu na ilikuwa mwanzoni zingine zote huwa natumia ufundi mkubwa damu haitoki .
Ukiskia mtu anajitapa kutoa damu ujue huyo hajui."
Hayo yalikuwa maneno yake .
Ila sijui kama analosema Ni kweli .ila kama ni kweli wengi wanakosea.
Hii ikoje wadau.