Amesema ataniwekea sumu!!!

Amesema ataniwekea sumu!!!

Kozo Okamoto

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2013
Posts
3,391
Reaction score
1,546
wadau,hasa kwa wale mliooa na kuolewa,na wengine wote kwa ujumla,wikend iliyopita nilikuwa napiga stori na waifu,baada ya kuniambia ananipenda sana akasema,siku akijua nina mcheat ataniwekea sumu kwenye chakula ili nife.dah,kauli ile ikanistua sana ukizingatia nilishawahi kucheat mara moja miaka ya nyuma japokuwa hakuwahi kugundua na mpaka leo ananiamini sana!!!bandugu hivi na ninyi huwa mnakutana na kauli kama hizi au ni waifu anafikiria kunichenjia?
 
He he he wanawake wakiwa hivyo watakufa wanaume karibia wote Tz,

Humu jamiiforums watabaki wanawake tu na wadada,
 
wadau,hasa kwa wale mliooa na kuolewa,na wengine wote kwa ujumla,wikend iliyopita nilikuwa napiga stori na waifu,baada ya kuniambia ananipenda sana akasema,siku akijua nina mcheat ataniwekea sumu kwenye chakula ili nife.dah,kauli ile ikanistua sana ukizingatia nilishawahi kucheat mara moja miaka ya nyuma japokuwa hakuwahi kugundua na mpaka leo ananiamini sana!!!bandugu hivi na ninyi huwa mnakutana na kauli kama hizi au ni waifu anafikiria kunichenjia?

Hugo ni gaidi live
 
Munkari hufai wewe. Dunia bila sisi mtaishi nyie? Embu usijidai kuvimba uongo hapa.
 
Last edited by a moderator:
Uwe mwangalifu hawa watu wamevurugwa sana miaka hii.
 
mwambie anunue kabisa hiyo sumu..

Hahahahaha! Nimeipenda hio! Its inevitable ata cheat tena sio?
Nilimtaniaga gf wangu baada ya kusoma watu wamenatana baada ya kucheat na kungatuka lazima mke na mme halali aje nikamtania kuwa twende kwa mganga tufanye hivyo akasema tena kwa upole na uhakika uliotisha sana "nikitokea you will wish ungeendelea kunatana."
Halafu akapiga kimya na after a few seconds akaendelea na story ingine! Dah I felt chills down my spine!
 
akiaanzisha tu kukuua na wengine wanaweza kuiga si unajua wabongo kwa kucopy maana mushi alianzia munis akakopy. mangi kaanzisha kuchoma nyumba utasikia watu wamemuiga tena, tafadhali usimcheat bana!!!
 
Hata Mimi nilipewa onyo kama hilohilo na Mimi nikamuuliza je namimi nikikufuma je, unajua alichonijibu
 
akiaanzisha tu kukuua na wengine wanaweza kuiga si unajua wabongo kwa kucopy maana mushi alianzia munis akakopy. mangi kaanzisha kuchoma nyumba utasikia watu wamemuiga tena, tafadhali usimcheat bana!!!

simcheat tena wangu ila siku hizi akinitengea msosi na muangalia usoni mara mbili mbili.coz ckutegemea kama anaweza kusema vile
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom