America's most stressful airports

Waafrika tu wajamaa, vema kuhabarishana ipo siku utahitaji kupitia airport hizo yasije yakakukukuta ndio maana tunatahadharishana kwa kauzoefu tuliko kapata.

Mada hii imetoholewa kutoka vyombo vya kitaifa vya Marekani na walioorodhesha na kuchanganyua matatizo y airpot ni wamarekani, ningesema mimi bila nukuru yangekuwa mengine zaidi hapa.
Ukitaka wakuunge mkono toa darasa namna ya kutotoswa Viza na Consular wa Ubalozi wa Marekani, basi hapo utapata mashabiki lukuki, watu waliokosa Viza wana jazba sana.
 
Ukitaka wakuunge mkono toa darasa namna ya kutotoswa Viza na Consular wa Ubalozi wa Marekani, basi hapo utapata mashabiki lukuki, watu waliokosa Viza wana jazba sana.

Asante Matola kunielewesha maana nimeshangaa napopolewa kwa mawe mazito na kosa silioni, kumbe ndani ya bongo za wengine kuna kinachotifuatifua na hapa ni kumalizia hasira.
 
hahahaha JF bwana wanaoishi airport utawajua haya bana inaonekana airport zote marekani umezimaliza.... Hongera mkuu hongera sana wa Tz kama wewe ni wachache sana
ila ndege kama LKM uliyoitaja hapo juu ndo naisikia leo nway Hongera nahic ulishakutana ma mr Presdent hata kwa bahati mbaya coz inaonekana wewe ni mutu ya safari


Ni KLM naona vidole kwenye home keys viliyumba kidogo, lakini ni moja ya flight inayojulikana hata wewe naona ulishapata kuelewa nilimaanisha
KLM - Royal Dutch Airlines.
 
Mjomba mimi mwinzio nimeanza kwenda London UK kabla hata ya Viza wakati mambo ya Entry tu. sina tatizo na Maconsular, Next year nitakuja Americano kutembea.

Ukishakuwa mteja wa kuchukua visa mara kadhaa hutiliwi mashaka, mwenzangu mimi wa kuanza leo utaulizwa maswali hata kusababisha woga na wasiwasi wako kutiliwa mashaka na kukataliwa. Wengi wanaoomba visa wanatakiwa kufundwa saikolojia ya kujieleza katika kuomba visa kwa mataifa makubwa. Wao wanaenda kama wanaomba visa vya kwenda Ufilipino au Malasya.
 
Ukishakuwa mteja wa kuchukua visa mara kadhaa hutiliwi mashaka, mwenzangu mimi wa kuanza leo utaulizwa maswali hata kusababisha woga na wasiwasi wako kutiliwa mashaka na kukataliwa. Wengi wanaoomba visa wanatakiwa kufundwa saikolojia ya kujieleza katika kuomba visa kwa mataifa makubwa. Wao wanaenda kama wanaomba visa vya kwenda Ufilipino au Malasya.
Mpaka sasa hata siuelewi vizuri mfumo wa akili za hawa Maconsular wa USA na UK, kuna dogo ni cabin crew alikuwa anatakiwa aende kwenye compatition zao za Airliners UK, nikashangaa ananipigia simu eti wamemnyima Viza na alikuwa anakwenda UK officialy tena katika competition ya kimataifa.

Ila juzi kati hapa akalamba Sheghen Viza kwa ajili ya kwenda France kwa ajili ya short Trainning, nilichogunduwa Sheghen countries wako fair sana kama docs zako zimekamilika, Interview kwao siyo muhimu.
 
Mpaka sasa hata siuelewi vizuri mfumo wa akili za hawa Maconsular wa USA na UK, kuna dogo ni cabin crew alikuwa anatakiwa aende kwenye compatition zao za Airliners UK, nikashangaa ananipigia simu eti wamemnyima Viza na alikuwa anakwenda UK officialy tena katika competition ya kimataifa.

Ila juzi kati hapa akalamba Sheghen Viza kwa ajili ya kwenda France kwa ajili ya short Trainning, nilichogunduwa Sheghen countries wako fair sana kama docs zako zimekamilika, Interview kwao siyo muhimu.

Siri moja kubwa usionekane mjuaji watakujua. Mivao nayo huweza kukuuza au kutouzika. Ulichoandika kwenye maelezo kazania hata wakikuuliza swali kinyume we kazania nia unayoendea na inavyoonekana kwenye maelezo. Pale kwenye balozi zao za Marekani na Uk si pa kuonyeshana mivao, vaa kawaida tu kwa kujiheshimu na jibu ukweli ulivyoomba na kuandika kwenye karatasi na hakikisha majibu yako pia hayaendi nje ya documents zinavyoonyesha.

Wengi wanakosea kwa kujibu ambalo ni mtege kwake hapo ndipo mwanguko wa pua. Utashangaa maskini wa kutupwa anapita interview na kuambiwa njoo kesho uchukue passport yako, na wajuaji kulamba vumbi.

Kitu kingine uhakiki za maisha uendako wapi utafikia na nani atakutegemeza na pia kama uwezo wake kisheria za uhamiaji na kimapato anaweza kukuhakikishia huduma zote muhimu ikiwemo bima ya afya ikiakiwa ingawa akishafika huku mambo hayo yanabaki kwenye paper tu.

Kuna siku nitajaribu kuwapa watu hapa mbinu kadhaa za uombaji visa.
 


Here's the list of the most stressful U.S. airports according to business travelers:

  • Chicago O'Hare International Airport
  • Los Angeles International Airport
  • John F. Kennedy International Airport
  • Hartsfield-Jackson Atlanta International Airport
  • New York's LaGuardia Airport
  • Dallas-Fort Worth International Airport
  • Newark Liberty International Airport
  • George Bush Houston Intercontinental Airport
  • San Francisco International Airport
  • Miami International Airport
  • Washington Dulles International Airport
  • Charlotte/Douglas International Airport
  • Philadelphia International Airport
  • Orlando International Airport
  • Boston Logan International Airport
  • Las Vegas McCarran International Airport
Sijui wametumia vigezo gani lakini kwa experience yangu nadhani kituo chenye stress kuliko vyote ni Ubungo Terminal, no question about that. I mean, abiria wanalala chini kwenye jumba moja kama warehouse wengine wanauza tiketi kumbe wezi, wengine manakaanga kuku ... its crazy!

Halafu Mwenge stand, ni vurumai mwanzo mwisho wengine wanauza sidiria za wanawake from the ground wengine wanakusanya kodi kwa makonda... wengine wanauza kwaya... balaa... then kuna Tandale kwa Mtogole.... Buguruni Sheli....
Ubungo Mataa...Mbagala Zakiem... And of course Posta Baharini, inabidi uingilie dirishani... terrible!

Hivyo vituo vyao O'Hare, La Guardia, n.k. kwa kweli sijui yanasimama magari ya kwenda wapi, labda Malawi.
Viko wapi, Kilombero?
 
Ukitaka wakuunge mkono toa darasa namna ya kutotoswa Viza na Consular wa Ubalozi wa Marekani, basi hapo utapata mashabiki lukuki, watu waliokosa Viza wana jazba sana.

kha! Unenichekesha sana Matola lazima jazba iwepo kwani wananyang'anywa tonge mdomoni.
 
Last edited by a moderator:
Sijui wametumia vigezo gani lakini kwa experience yangu nadhani kituo chenye stress kuliko vyote ni Ubungo Terminal, no question about that. I mean, abiria wanalala chini kwenye jumba moja kama warehouse wengine wanauza tiketi kumbe wezi, wengine manakaanga kuku ... its crazy!

Halafu Mwenge stand, ni vurumai mwanzo mwisho wengine wanauza sidiria za wanawake from the ground wengine wanakusanya kodi kwa makonda... wengine wanauza kwaya... balaa... then kuna Tandale kwa Mtogole.... Buguruni Sheli....
Ubungo Mataa...Mbagala Zakiem... And of course Posta Baharini, inabidi uingilie dirishani... terrible!

Hivyo vituo vyao O'Hare, La Guardia, n.k. kwa kweli sijui yanasimama magari ya kwenda wapi, labda Malawi.
Viko wapi, Kilombero?

kaka nikifika home nakugongea like
 
Off topic: Mwanza airport ina usumbufu sana, jirekebisheni!

Kuhusu marekani sijafika mkuu:madgrin:
 
Hanisi Matola kila kitu ushapitia wewe.

Ushuzi kumbe mali mkuu!

Visa za "Sheghen" Wazungu wanakupa hanisi weye, na hakuna cha "compatition zao za Airliners UK" wala cha "UK officialy" vinavyokuzuia.

Mwenyezi akupe nini zaidi hanisi wewe zaidi ya ushuzi!

Damn!
You will know the power of Moderator soon.
 
Off topic: Mwanza airport ina usumbufu sana, jirekebisheni!

Kuhusu marekani sijafika mkuu:madgrin:

Ile ya Mwanza nayo balaa kwani ukiwa kwenye cabin ya ndege inapotua na kuruka unafikiria inaweza kuishia kwenye milima iliyo kandokando yake, maana ni bondeni mno, mfano ni kama lile wanja wa ndege la Zurich.
 
You will know the power of Moderator soon.

[h=1]Mer Dritt
user-offline.png

Banned
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
[/h]


Join Date 10th May 2012
Last Activity
Today 01:44
Avat
 
Ile ya Mwanza nayo balaa kwani ukiwa kwenye cabin ya ndege inapotua na kuruka unafikiria inaweza kuishia kwenye milima iliyo kandokando yake, maana ni bondeni mno, mfano ni kama lile wanja wa ndege la Zurich.

acha tu ndege yenyewe ilikuwa inaingiza kaupepo flani hivi ikabidi nizibe dirisha na tishu lakini haikusaidia, saa zingine bora kupanda basi. U wanja wa Zanzibar vipi mkuu? hauna stress lakini kiwango chake duni sana. Bora busy but safe airport.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom