America Plays Big Brother to Kenya.

CUF ina harufu ya u-Al Qaeda ndio maana hawasikilizwi na Wamarekani na nchi za Magharibi! Otherwise issue ya Pemba ingepigiwa kelele mno na Marekani!
 
Hata wao mwenyewe Wamerica wana makosa kibao hawawezi kutufundisha Demokrasia yetu na wao ndio watu wa mwanzo kumiddling mambo ya watu hawa
 
hivi kuwazuia hawa wakubwa kwenda huko kunasaidia lolote katika maendeleo ya inji?
kwa mfano mtu ambaye amefisadi mahela kibao ya walipa kodi walalahoi afu wamarekani wanamzuia kwenda kwao sisi tulioibiwa mapene yetu mustakabali wetu unakuwaje?mi nadhani wangeshurutisha kwa mfano wale walioiba wazirudishe kama walivyowafanyia akina mobutu,
 
aah! nadhani wasilete Tanzania kitu kama hiki, wasiwasi wangu ni hawa akina Ponda na kundi la waislam wenzake wenye msimamo kama wake. Naomba radhi kwa waislam, hapa sisemi juu ya waislam wote ndo maana nataja jina la Ponda. Ninamaanisha lile kundi lenye msimamo wa boko haram. Kundi hilo linaushawishi mkubwa sana na siku zote linatafuta sababu ya kuifanya Tanzania ikosane na USA au mataifa ya magharibi.

.

hii kitu wailete tu TZ if that's what it takes kuwashikisha adabu mafisadi, udini sio kitu, kama mjaluo live ameweza kuipeleka Kenya kwenye ukabila, hata hapa itafaa tu...kwenye hiyo list ya wakosa visa na wakristu si watakuwapo ndani? kama hiyo hapo juu isivyochagua kabila
 
Raila is a very calculating man, he is usually very keen in what he does and who he associates himself with, the gvt has tried a million and one time to demonize him but he comes out cleaner than before.

The Nation news paper failed miserably this time round, Its a battle for popularity for the Kenyan people, note that in Kenya, the political atmosphere is always on campaign mode, therefore the state will use every means to discredit whoever it views as an 'enemy' to it (Remember when the gvt attacked the Standard Newspaper). Its like the fourth estate has taken sides, and its evident by the biased reporting.
 
hii kitu wailete tu TZ if that's what it takes kuwashikisha adabu mafisadi, udini sio kitu, kama mjaluo live ameweza kuipeleka Kenya kwenye ukabila, hata hapa itafaa tu...kwenye hiyo list ya wakosa visa na wakristu si watakuwapo ndani? kama hiyo hapo juu isivyochagua kabila

Kabla Marekani hawajaileta Tanzania, si na sisi tuanze ili kutekeleza ule msemo Charity begins at home?? Kwa kuwa serikali yetu inawakumbatia mafisadi na haitaki kuwapa ban. Bas sisi tuanze kwa kutoshirki biashara zao. Tususie kununua bidhaa na huduma zote za mafisadi. Ni nani ajitokeze kuelezea hayo?? Ila akubali kuwa maisha yake yatakuwa mafupi, japo si kwa bomu la mhanga but ni kujitoa mhanga???

Hivi mnafahamu yule suspect wa Benki ya NBC aliyetuhumiwa kuwa alitoa zile account za mafisadi na akafukuzwa kazi alifariki tarehe 11/9/2009 na kuzikwa tarehe 15/9/2009?? Alipata maradhi ya kutatanisha?? na umauti ukamfika!!! Pengine nitaanzisha tread yake ili mwenye lolote kuhusu marehemu huyu shujaa achangie (jina nimelihifadhi kwa sasa). Rest in Peace.
 
Matatizo yao ni UFISADI au vurugu zilizoambatana na mauaji baada ya uchaguzi mkuu wa KENYA? Mbona kamwacha Raila, kinara wa yote haya?
 
us2.jpg


Odinga, Michuki and World Bank Director Zoeller
Huyu Michuki si yuko kwenye list ya waliopigwa marufuku kukanyaga marekani? vp tena??
 
Matatizo yao ni UFISADI au vurugu zilizoambatana na mauaji baada ya uchaguzi mkuu wa KENYA? Mbona kamwacha Raila, kinara wa yote haya?

Hivi kinara wa haya Mauaji ni Raila? au ni Kibaki aliyejitangazia Ushindi mwenyewe!!
 
Huyu Michuki si yuko kwenye list ya waliopigwa marufuku kukanyaga marekani? vp tena??

Mkuu,

barua za kupigwa marufuku zimetoka jana na huu msafara
ulikua ushatangulia tangu wiki jana nadhani.

Tusubiri tuone maana siasa za Kenya ziko very dynamic
kwa wakati huu.
 
Dah ukabila hatari sana kama udini sasa hawa jamaa dah naona walikosea sana kudharau Kiswahili kuwa lugha ya Taifa lao na wangekipa kipau mbele makabila yote yangeunganika lakini mmh!
 
Hivi kinara wa haya Mauaji ni Raila? au ni Kibaki aliyejitangazia Ushindi mwenyewe!!
Hebu fikiria kama angekubali kushindwa mapema kabla ya alivyofanya baadae. Asingekufa mtu. Watu wamekufa, kapewa Uwaziri Mkuu bandia na magari ya ving'ora basi hadi 2012.
 
Kabla Marekani hawajaileta Tanzania, si na sisi tuanze ili kutekeleza ule msemo Charity begins at home?? Kwa kuwa serikali yetu inawakumbatia mafisadi na haitaki kuwapa ban. Bas sisi tuanze kwa kutoshirki biashara zao. Tususie kununua bidhaa na huduma zote za mafisadi. Ni nani ajitokeze kuelezea hayo?? Ila akubali kuwa maisha yake yatakuwa mafupi, japo si kwa bomu la mhanga but ni kujitoa mhanga???

Hivi mnafahamu yule suspect wa Benki ya NBC aliyetuhumiwa kuwa alitoa zile account za mafisadi na akafukuzwa kazi alifariki tarehe 11/9/2009 na kuzikwa tarehe 15/9/2009?? Alipata maradhi ya kutatanisha?? na umauti ukamfika!!! Pengine nitaanzisha tread yake ili mwenye lolote kuhusu marehemu huyu shujaa achangie (jina nimelihifadhi kwa sasa). Rest in Peace.
Dah! amefariki! yaani huyu mtu tunafahamiana uzuri,Mungu amuweke mahali pema. kama ndio huyo ninayekusudia anaitwa Bw Msaki,ni huyu mkuuau ?
 
Hivi kinara wa haya Mauaji ni Raila? au ni Kibaki aliyejitangazia Ushindi mwenyewe!!

k4jolly,

technically kinara wa haya mauaji ni Kibaki kwa sababu kadhaa.

...kwanza aliiba kura katika uchaguzi wa 2007.

...pili baada ya kuapishwa kama rais, then he has the full responsibility
ya kuwalinda wakenya wote regardless of tabaka. Kwa hivyo hap
yupo guilty of ommision of using the powers if his office. Sababu
anazijua mwenyewe.

...tatu ni kwamba kuna sehemu vyombo vya serikali vilikua vinatumika
kuua watu hususan maeneo ya Kisumu kuliko jaa wajaluo ambao
wanaaminika kua supporters wa Raila damu.

Kinacho endelea behind the scenes Kenya ni ishu ya ICC kuchunguza
chanzo cha who was guilty of supporting the clashes either directly
au indirectly.

Ukipata wakati pekua hii thread kwa maelezo ya hii ishu...ZAIDI.
 
Dah ukabila hatari sana kama udini sasa hawa jamaa dah naona walikosea sana kudharau Kiswahili kuwa lugha ya Taifa lao na wangekipa kipau mbele makabila yote yangeunganika lakini mmh!

Ukabila wetu haukuletwa na kutotumia kiswahili , sheng and english is also communication, its not like most Kenyans speak their mother tongue everywhere and every time, most of us just use it with families and friends from the same area, and in my case occasionally.

Utawala wetu tangu enzi za Kenyatta ulifanya ukabila uka kithiri miongoni mwa wananchi, one tribe was favoured in the Kenyatta era, most Gvt appointments, scholarships, loans, LAND etc were directed towards a certain tribe and the rest (41 tribes BTW) were ignored and felt abandoned by the Gvt which was supposed to protect them. After the death of Kenyatta, Moi got to power and fwatad Kenyatta's nyayo and perfected tribalism and took it a notch higher, to an extent where our security forces were dominated by one tribe till up to date they tend to talk with a certain accent (kalenjin).
 
Ab- Titchaz,
Hauwezi kumwondoa Raila kwenye sakata hili kwa sababu zifuatazo:
1. Aliyakataa matokeo yale ya Uchaguzi kabla hata hayajatangazwa.
2. Alikuwa na uwezo na ushawishi mkubwa kuwatuliza wafuasi wake.
3.Baada ya watu kuuwawa kakubali usuluhishi, kwa nini sio kabla?
 
Ab- Titchaz,
Hauwezi kumwondoa Raila kwenye sakata hili kwa sababu zifuatazo:
1. Aliyakataa matokeo yale ya Uchaguzi kabla hata hayajatangazwa.
2. Alikuwa na uwezo na ushawishi mkubwa kuwatuliza wafuasi wake.
3.Baada ya watu kuuwawa kakubali usuluhishi, kwa nini sio kabla?

Mkuu,

the issue here is proof.

That is where its very hard even almost impossible kumweka Raila humo ndani. You simply cannot say alikua na uwezo wa kuwakataza wafuasi wake kusitisha mauaji. Analyse siasa za Kenya na one thing stands out, ukabila!

Kisha chambua kwa undani mauaji yalitokea wapi kwa asili mia kubwa. Utapata kua it was in 2 main regions. In Nyanza/Kisumu ambapo vyombo vya serikali (soma jeshi la polisi) vilitumika kuua raia wa kawaida. Kulikua na tetesi kua wanajeshi kutoka Uganda walikuja kumpa tafu Kibaki katika kufanya hili jambo.

Eneo la pili lilikua katika Bonde la Ufa (Rift Valley) ambapo wakikuyu walikua wanauliwa na kufukuzwa katika mashamba yao maana yalikua katika maeneo ya wakalenjin. Hao wakalenjin wamekua wakidai toka zamani kua wakikuyu wanaoishi maeneo waliletwa hapo na serikali ya Kenyatta na wakaiba mashamba kutoka kwa wazawa. Kisha subsequent Govts had protected the status quo. In Raila they had seen hope that this ishu ingekua addressed once and for all. Lakini walipoona Kibaki kaiba kura wakaamua watembeze kichapo wenyewe. Sasa jiulize how could Raila stop such folks? kwanza kabisa ukichukulia sio kabila lao...Hapa ndipo Mh. William Ruto anaanza kulaumiwa and that is why his name is a big candidate in Ocampos List.

Meanwhile Kibaki had been forewarned a thousand times by his own intelligence people kua akiiba hizi kura kabila lake litaaumia na the police force/para-military wasingeweza kuwapa any protection. Hata hivyo kiburi na tamaa vikamzidi na akaendelea kuiba kura.

Habari ndio hiyo.
 
Last edited:
Back
Top Bottom