Amependeza sana mambo ya baharini

Mzuri sana !! Kila kitu chake kizuri , Lips , Sura , Umbo , rangi . Nywele. Hakujichubuwa , hakupiga pasi nywele . A true African beauty at its best. Yuko wapi huyu jamani ?
 
Mbona hana hata mvuto wa kumuweka katika forum yetu jamani?


IMG_5028.JPG
 
Mipaja imo ila sijui anakula mbilimbi!!??Sijui kabila gani huyu mwanamke huyu humkoromei!!kifara anakuzibua unatia akili ndo unalaga zako kichwani imekula kwako!!
Hahaha!huyu akipigwa picha ya passport si unaweza apa ni njemba ?
 
Kila Ukitazama Picha Bila Ku Log in Huwezi ona kitu! Kumbuka ku log in kabla hujaingia ndani ya JF!
kwanini picha zingine mimi huwa sizioni, kama hii kwa mfano, na ile ya samaki pia, mwenye kufahamu zaidi tafadhali anijuze.
 
hajapendeza wala nini yuko ovyo ktambi mpaka kmemchomoza muangalie vzuri upande wa kushoto
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom