Amepata mchumba mwingine

Amepata mchumba mwingine

queenlishas

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2014
Posts
288
Reaction score
76
Wana MMU habari.

Yamenikuta mie. Boyfriend wangu anatakiwa kuoa mchaga mwenzake na mie sio mchaga yaani ni shidaaa.

Mchumba kapatikana uchagani na process zote ananijulisha. Ingawa anaoa hataki tuachane.

Duh! Mazito ndugu zangu.

Nipeni ushauri au ata pole yatosha
 
Karibu sana kwenye ulimwengu wa Dilemma.

Tafuta wako mapema kabla hujagonga 30's.
 
mnafki huyo,anataka akufariji ukubali matokeo halafu aendelee kukutafuna,kashakuambia kata mawasiliano mazima,angejua umuhimu wako asingelazimishwa kuoa mchaga mwenzake,hicho kisingizio tu katafuta.Kama unajielewa achana naye tu.
 
Yeye anaoa afu hataki muachane. Is he serious? Limeshatokea, kubali kuwa huyo si wako tena, utampata wa kwako ambaye Mungu amekuchagulia. U don't deserve to be mchepuko wa mtu. Pole sana
 
wachagga wa mujini ndo wanaopenda kuendekeza michepuko..wa kijijini angekwambia muachane
 
Katafuta njia ya kidplomasia kukumwaga.

Kwa kifupi, kwake wewe ulikuwa wa kuuzia sura kitaa, ila si wa kuoa. Keshapata wife material wake, kwako anataka abaki na copyright za kuchemsha kiporo.

Stuka!
 
Pole sana,serebuka unaweza pendwa tena...... Huyo si wako,kwanza dhaifu hana msimamo hakufai hata kidogo,dume zima anachaguliwa mke....achana naye.
 
Wana mmu habari,
Yamenikuta mie. Boyfrend wangu anatakiwa kuoa mchaga mwenzake na mie sio mchaga yaani ni sheeeeda!!!

Mchumba kapatikana uchagani na proces zote ananijulisha. Ingawa anaoa hataki tuachane. Duh! Mazito ndugu zangu. Nipen ushauri au ata pole yatosha
Acha ukabila!
 
Fanya mpango wa kubadilisha kabila chap chap...

Watu siku hizi wanabadili hadi jinsia, nini kabila...[/QUOT
NAHISI KAMA WEWE NI MKUU WA DINI YEYOTE, FANYA HIMA UMBATIZE KABILA BASI
 
Yeye anaoa afu hataki muachane. Is he serious? Limeshatokea, kubali kuwa huyo si wako tena, utampata wa kwako ambaye Mungu amekuchagulia. U don't deserve to be mchepuko wa mtu. Pole sana

hey miss you..
 
Karibu sana kwenye ulimwengu wa Dilemma.

Tafuta wako mapema kabla hujagonga 30's.

Acha kumpotosha dada yako we kijana....kutafuta mapema ndio nini? Mume amekuwa mtumba?
 
Katafuta njia ya kidplomasia kukumwaga.

Kwa kifupi, kwake wewe ulikuwa wa kuuzia sura kitaa, ila si wa kuoa. Keshapata wife material wake, kwako anataka abaki na copyright za kuchemsha kiporo.

Stuka!
hehe huyo kamwaga kwa kutumia kisingizio ukabila,wengine dini,wengine distance
 
Acha kumpotosha dada yako we kijana....kutafuta mapema ndio nini? Mume amekuwa mtumba?
Ndio!

mwanamke akishafika 30 ujue ni majanga! ni bora muambiwe mapema kabla maji hayajamwagika!

Kama hana cha kufanya, basi ni bora afanye moja la kueleweka!
queenlishas hebu funguka dada wababa wa humu nao tuone kama tunaweza kujibeba! lol
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom