nakubaliana na wewe, lakini this is a christian marriage, nataka niwe kwenye position nzuri ili hata nikitaka kuquit natoka bila lawama yoyote, and if nikitaka kufanya maamuzi mengine ya mapenzi nisifungwe na kanisa. wazazi, wadhamini wanajua lakini naona wote wamepigwa na butwaa.mchungaji anajua pia nadhani atachukua hatua.ila sijui.. Ukimwi mmmh atajiuguza alipoupata and i wont share his viruses.
unauhakika wewe sio sababu ya mumeo kukimbia nyumba???
Unataka mwanaume mwingine?
nakubaliana na wewe, lakini this is a christian marriage, nataka niwe kwenye position nzuri ili hata nikitaka kuquit natoka bila lawama yoyote, and if nikitaka kufanya maamuzi mengine ya mapenzi nisifungwe na kanisa. wazazi, wadhamini wanajua lakini naona wote wamepigwa na butwaa.mchungaji anajua pia nadhani atachukua hatua.ila sijui.. Ukimwi mmmh atajiuguza alipoupata and i wont share his viruses.
Ana ukimwi?hebu kuwa specific…nakubaliana na wewe, lakini this is a christian marriage, nataka niwe kwenye position nzuri ili hata nikitaka kuquit natoka bila lawama yoyote, and if nikitaka kufanya maamuzi mengine ya mapenzi nisifungwe na kanisa. wazazi, wadhamini wanajua lakini naona wote wamepigwa na butwaa.mchungaji anajua pia nadhani atachukua hatua.ila sijui.. Ukimwi mmmh atajiuguza alipoupata and i wont share his viruses.
Not now. lakini mbele i will. i m still very young kujinyima furaha.
tehteh hata kama ni hivyo, ukiambiwa si ndiyo vizuri ili ufanyie kazi.
^^
Katika mapenzi, kuna wapenzi wanaitwa rebels! Hawa hawapendi kunyimwa uhuru wao, hawapendi kurudia mambo yale yale nyakati zote, ni wavumilivu wa tabia zinazobadilika. Inapotokea hawaoni mabadiliko kwa wenza wao, huamua kuasi. Huondoka. Huutafuta uhuru wao uliopotea, na huaga! Hilo ndilo lililokupata mleta mada. Kifupi, kwa hulka na silika zao, si rahisi kurudiana. Tafuta mwingine.
Naona kama vile umepatia sana. natamani kujua zaidi kuhusu unachosema. ni mtu wa dizaini hii. hata kwa watu wake wengine wa karibu.
Mume ameniacha, kaenda kupanga nyumba sehemu nyingine, ananiambia tuachane sababu hatufanani.
Mbaya ananitumia meseji kila siku usiku akiniambia jinsi gani ananimiss na kuwa ni jinsi gani moyo wake unamuuma kwa kuniacha ila inambidi aniache tu.
simjibu. Anaamini baada ya muda haya maumivu yatatuisha na tutaanza upya.
Ananiombea nipate mume mwingine and it is a strong christian marriage.
Nimeumia sana ila sasa naona moyo umeanza kuchukulia kwamba ndiyo hali halisi, ila nimefedheheka sana kujua I married a person mwenye akili za aina yake.
Nilikuwa naamini ana akili njema sana.
Sijui nani kamloga baba mtoto.
Nenda kwa paroko au mchungaji aliewafungisha ndoa,aitwe,aulizwe,wape taarifa wasimamizi wa ndoa na wazazi,kama atagoma kuwaskiliza,dai talaka yako,iwemahakamani au vyovyote,mkishaachana piga moyo konde anza maisha upya,ili yakimshinda huko,au akiokota magonjwa kwaoooooo na sio kwako,asipokupa talaka akiokota ukimwi wake atarudi kwa mke wake ili umuuguze,kataa hyo kitu mapema,c kakuona hufai atakukumbuka!
Ndoa za siku izi zina kazi sana ..... mbona zamani akukua ivi? Ni kwamba watu wanaoana bila kuchunguzana au imetokea baati mbaya au wamelazimishana au nn chanzo?
Tulia dada maisha yanaendelea. Songa mbele usiwaze tena ndoa. Kama una watoto endelea kuwalea mbeleni kitaeleweka.
Usijaribu kutafuta suluisho la kurudiana mana atakusumbua sana.
Mume ameniacha, kaenda kupanga nyumba sehemu nyingine, ananiambia tuachane sababu hatufanani.
Mbaya ananitumia meseji kila siku usiku akiniambia jinsi gani ananimiss na kuwa ni jinsi gani moyo wake unamuuma kwa kuniacha ila inambidi aniache tu.
simjibu. Anaamini baada ya muda haya maumivu yatatuisha na tutaanza upya.
Ananiombea nipate mume mwingine and it is a strong christian marriage.
Nimeumia sana ila sasa naona moyo umeanza kuchukulia kwamba ndiyo hali halisi, ila nimefedheheka sana kujua I married a person mwenye akili za aina yake.
Nilikuwa naamini ana akili njema sana.
Sijui nani kamloga baba mtoto.