Hiyo kaiacha km chambo sasa akili kumkichwa na x-mass na mwaka mpya ndo hizooo zipo mbezi kwa msuguli zishaingia mjini muda wowote kuanzia sasa tunazipokea ubungo..
Ukiona hivyo hana shida nayo kwa sasa au anazo nyingine so kaamua akusaidie tu kiroho safi kwa hiyo usijidanganye kuwa naye anakupenda
kumbe ndivyo ilivyo wanawake hatujui kupenda mwe!kwa
asili hakuna mwanamke anayejua kupenda, ila ili mwanamke akupende ni
juhudi zako mwanaume kumfanya akupende...........ndo maana mwanamke
anaweza akapishana na midume kibao asihangaike kabisa.......lakini kwa
mwanaume weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, tema mate chini kabisaaaaa!
Kwa hiyo mzee we kazana kitu kitakuwa chako hicho cha kujimegea freely,
utoke kazini, disko, dansi ni kumwambia tu.......sweetie hebu geukia
huku basi!
Heri ya xmass wanajamvi,takribani miezi miwili ivi kuna mdada nlkuw namfukuzia,nlshamtongoza mara ya kwanza akanikataa ila tuliendelea kuwasiliana kama kawaida.Wiki moja iliyopta nlmuomba modem yake niitumie akanipatia bila tabu sasa juzi alikuja kwangu katka kupga stori za hapa na pale akaniambia naondoka na modem yangu(yani yake yeye)nikamjbu haina shida,kwakuwa tulikuwa chumban kwangu nkaona ngoja nijaribu kwa mara nyingne kumtongoza,akakataa tena.Wakati anataka kuondoka nikampa modem yake akaikataa akidai eti nibaki nayo nlmbembeleza aichukue lakn alkataa kata kata,hki kitu kinaniumiza kichwa sana na naomba mnisaidie kwa nini alifanya ivi?amenisusia au ananletea mapenzi ya tamthilia tena za kihindi?nna mpango wa kumpatia rafiki yake hiyo modem ili ampatie au ntakosea?naombeni ushauri jaman mana kiukweli nampenda tena sana tu
Heri ya xmass wanajamvi,takribani miezi miwili ivi kuna mdada nlkuw namfukuzia,nlshamtongoza mara ya kwanza akanikataa ila tuliendelea kuwasiliana kama kawaida.Wiki moja iliyopta nlmuomba modem yake niitumie akanipatia bila tabu sasa juzi alikuja kwangu katka kupga stori za hapa na pale akaniambia naondoka na modem yangu(yani yake yeye)nikamjbu haina shida,kwakuwa tulikuwa chumban kwangu nkaona ngoja nijaribu kwa mara nyingne kumtongoza,akakataa tena.Wakati anataka kuondoka nikampa modem yake akaikataa akidai eti nibaki nayo nlmbembeleza aichukue lakn alkataa kata kata,hki kitu kinaniumiza kichwa sana na naomba mnisaidie kwa nini alifanya ivi?amenisusia au ananletea mapenzi ya tamthilia tena za kihindi?nna mpango wa kumpatia rafiki yake hiyo modem ili ampatie au ntakosea?naombeni ushauri jaman mana kiukweli nampenda tena sana tu
hiyo hakunaga ww ,mpaka kitu na box ndo inakuwa bambam.Jamani alikupa kwa roho safi,na kama umeona anakufanyia snema ili arudi haya we kaa na mawazo hayo,kwani mkiwa marafiki wa kawaida sio tamu mpaka mvuane nguo ndio inanoga?