Amenisaidia mengi lakini,simpend hata kidogo

Amenisaidia mengi lakini,simpend hata kidogo

umukagame

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2014
Posts
1,044
Reaction score
675
Habari zenu wapenzi,

Nina kitu kinanchanganya kidogo

Kuna baba mmoja nimemfahamu kama 6 years ago ni mkubwa kwangu me ni kama mwananye wa kwanza hivi,,huyu baba ni mtu ana pesa nyingi na amekuwa akinisaidia na amenisaidia hata kumpatia mdogo wangu kazi katika secta nyeti sana (kifupi anajiyoa sana kunisaidia lakini nyuma ya hapo ananitaka kimapenzi(mimi nina mpenzi wangu ambaye nampenda)

Huyu baba kaachana na mkewe kama mwaka umepita na ananiambia anahitaji anioe kaniahidi mambo mengi sana iwapo nitakubali anioe,,
Kiukweli kutoka moyoni sijawahi kumfeel hata kidogo yani simpendi kabisa hata akinisalimia sitakagi hata anshike mkono namchukia akinieleza maswala ya mapenzi,
Sometimes nawaza mambo ambayo amenisaidia najisikia hukumu,,lakini nifanyaje ili huyu baba aniache aache kunisumbua na asinichukie sababu sitaki hata aje ofisini kwangu lakini namuheshimu siwezi kumwambia,,anajua nina mtu lakini bado amefikia kunambia kama simtaki nitafute msichana mwingine aliyefanana na mimi nimpelekee amuoe amekuwa

Napata wakati mgumu sana najisikia vibaya

Nishaurini nifanyaje
 
kaachana na mkewe kisa nini
kama humpendi kwanini unakubali kupokea vitu vyake?
Umekubali kuzitumia mali zake, nawe husiwe mchoyo kutoa vyako!!

Sijawahi kumuomba kitu chochote bali huwa anafanya yeye kwa ridhaa yake
 
Huwa nawashangaa sana wanawake kama wewe,mnaopokea pesa na misaa ya wanaume,mnapopokea mnajua kabisa nini lengo la yeye kutoa huo msaada au pesa halafu baadaye ukiombwa mzigo unasema humpendi.
Wakati mnapewa kwanini mlikuwa mnapokea???
 
Unapataje wakati mgumu tena na umesema haumpendi kumtafutia msichana mwingine?

Kwa hiyo ni haujalala nae, bali umemchuma pesa zake na mdogo wako kapata kazi.

Sasa mtafutie mtu nawe uwe kama umemshukuru, then omba Mungu wako asikuache akigundua ulikuwa unachuma mBaba pesa yake. Then usije juta ukiona yeye na huyo mpya maisha yao matamu no shida.

Ukimpatia mtu labda atakuwa ameshakueleza kisha cha kuachana na mke wake, muhimu kujua hata kidogo wengi hawaongeagi vya ndani haswa labda wakiamua.

Omba Mungu huyo wako umpendaye asijue, utajuta. Na acha kuendelea kumchuna mBaba wa watu, wakati unapokea misaada kwanini haukukataa hadi unaishia now kugundua. Eeeh msichana wa mjini kuchuma buzi, unalo
 
kaachana na mkewe kisa nini
kama humpendi kwanini unakubali kupokea vitu vyake?
Umekubali kuzitumia mali zake, nawe husiwe mchoyo kutoa vyako!!

Hahha..inaitwa Give n take....sasa ww unataka ku-take tuu ee..toa papuch iyo mzee apige!!!
 
Maisha Ni Fumbo. Na bahati mbaya kila mtu ana lake tofauti.
 
Unapataje wakati mgumu tena na umesema haumpendi kumtafutia msichana mwingine?

Kwa hiyo ni haujalala nae, bali umemchuma pesa zake na mdogo wako kapata kazi.

Sasa mtafutie mtu nawe uwe kama umemshukuru, then omba Mungu wako asikuache akigundua ulikuwa unachuma mBaba pesa yake. Then usije juta ukiona yeye na huyo mpya maisha yao matamu no shida.

Ukimpatia mtu labda atakuwa ameshakueleza kisha cha kuachana na mke wake, muhimu kujua hata kidogo wengi hawaongeagi vya ndani haswa labda wakiamua.

Omba Mungu huyo wako umpendaye asijue, utajuta. Na acha kuendelea kumchuna mBaba wa watu, wakati unapokea misaada kwanini haukukataa hadi unaishia now kugundua. Eeeh msichana wa mjini kuchuma buzi, unalo

Umeanza kushauri vzr ila mwisho mmm
Nimpendae nlishamwambia nae pia anamfahamu huyo baba na lengo lake analifahamu ilahajui kama alishawahi nisaidia vitu vingi!!
Huyo baba ana tabia ya kupenda penda ndiyo maana mkewe akadai talaka so n kama fataki hivi!nafikiria niwe serious nimtafutie mdada mwingne coz mm simuhitaji hata kidog
 
Habari zenu wapnz
Nina kitu kinanchanganya kidogo

Kuna baba mmoja nimemfaham kama 6 yearz ago ni mkubwa kwangu me ni kama mwananye wa kwanza hivi,,huyu baba ni mtu ana pesa nyingi na amekuwa akinisaidia na amenisaidia hata kumpatia mdogo wangu kazi katika secta nyeti sana (kifupi anajiyoa sana kunisaidia lakn nyuma ya hapo ananitaka kimapenzi(mimi nina mpenz wang ambaye nampenda)
Huyu baba kaachana na mkewe kama mwaka umepita na ananiambia anahitaji anioe kaniahidi mambo mengi sana iwapo nitakubali anioe,,
Kiukweli kutoka moyoni sijawahi kumfeel hata kidogo yan simpend kabsa hata akinisalimia sitakag hata anshike mkono namchukia akinieleza maswala ya mapenzi
Smtmz nawaza mambo ambayo amenisaidia najisikia hukumu,,lakn nifanyaje ili huyu baba aniache aache kunisumbua na asinichukie coz ctak hata aje ofisini kwangu lakn namuheshim siwez kumwambia,,anajua nina mtu lakn bado amefikia kunambia kama simtak nitafute msichana mwngne aliyefanana na mm nimpelekee amuoe amekuwa

Napata wakat mgumu sana najisikia vibaya

Nishaurin nifanyaje

Dada;
1) Huo mkono si ndo huo huo wakati unapokea msaada unakubali kushikana?
2) Mtu humpendi, hutaki hata communication naye na hata social interaction hupendi. Kinachonishangaza ni kwamba mtu hadi upokee msaada kwake na uwe na amani anatakiwa awe ndugu au rafiki tena si rafiki wa jana-juzi. Sasa kama kweli hutaki mazoea naye kwa nini usimwepuke kabisa.

3) You are using the person to extract favors and without a plan to repay the person. You are just like an expensive type of prostitute and worse you are not paying back your dues!!
I THINK YOU ARE OLD ENOUGH TO KNOW WHAT HAPPENS TO PROSTITUTES WHO DO NOT DELIVER SERVICE WHILE THEY OWE THEIR CUSTOMERS

ulikubali kula na wewe nenda ukalipe(sometimes u wonder if these threads are serious of just someone passing a day)
 
Baniani mbaya viatu vyake vinadawa. Acha unafiki dada kwa huyo mzee na kwa mpenz wako. Rudisha vitu vya watu la mueleze mpz wako kuwa umekula vya watu, si tu anakupenda.
 
Umeanza kushauri vzr ila mwisho mmm
Nimpendae nlishamwambia nae pia anamfahamu huyo baba na lengo lake analifahamu ilahajui kama alishawahi nisaidia vitu vingi!!
Huyo baba ana tabia ya kupenda penda ndiyo maana mkewe akadai talaka so n kama fataki hivi!nafikiria niwe serious nimtafutie mdada mwingne coz mm simuhitaji hata kidog

You are just like a prostitute!!
Na huyo umpendaye is a poor excuse of a man, tena hakustahili. We nenda kamlipe mzee wa watu
 
unakula mali za watu , kutoa vya kwako unatuletea kesi hapa!......poor.......watu siku hizi tunawekeza banah...!
jamaa anahesebu itamlipa baadaye, acha kulialia hapa..toa sukari hiyo watu warambe..tena hisiwe guru!
 
Back
Top Bottom