Amenilisha nini huyu mwanamke

Amenilisha nini huyu mwanamke

Hilo neno la peke yako silipendi, sababu sina uchoyo wa chakula.

Kama ndivyo umeyasema basi labda ungekula na mwingine dawa isingefanya kazi.
 
Nawewe paka ubuyu kwenye dushe, afu mlambishe 'koni'. Kwisha habari yake.

Au solusheni nyingine (plan B) ni hii: Kabla hujaanza kumdinya, mbinue umuweke style ya 'popo kanyea mbingu'... kisha fanya maombi kwa sauti kukemea hilo pepo la limbwata. Wakati unafanya hayo maombi, pakodolee sana pale penyewe kwene sekta.

-Kaveli-
Nini matokeo yake nikipaka ubuyu
 
Wewe una tatizo la kisaikolojia, kama angekufanyia madawa, wala usingejitambua kuwa kakufanyia, ni tatizo la kujihisi-hisi hivi, na kuna uwezekano huko nyuma uliwahi kushuhudia au kuhadithiwa kuhusu wanawake kuwawekea madawa waume zao so ilikuathiri sana.
Msaada tafadhali
 
Kwani korosho zake si ulikula peke yako tena hukuja hata kuomba ushauri!
Ukitaka kula kubari uliwe kidogo
mkuu hili jibu lako mubashara na lilitakiwa lifunge huu uzi mzima kwa hilo jibuuu tuuu, na korosho zilivyo tamu vile tena kilo moja sijui akale mwenyewe ahaaaa, basi hata angetuma hata kapicha tuu
 
Back
Top Bottom