Ameniboaa! Marafiki wa social network

Ameniboaa! Marafiki wa social network

Nawasisitiza sana marafiki wa social network sio kabisa, kuna mtu kanipm ooh tuwe marafiki nimesoma sred zako nyingi kwahiyo nimevutiwa
akaniachia namba yake nikampigia kwabahati hatukuwa mbali namahali nilipo ikabidi tukutane, mara phone yake ikaita kaongeaa karibia lisaa sijakaa sawa katoa ipad kaanza kubrows mambo yake heee ikabidi nimshangae hakuna maongezi mpaka hapo ee, mara samahani honey ingia basi ndani yagari tuongee kibo ! Nimekua honey? Mara kanishika kiuno huku anataka kunikumbatia khee! Nilichukiaa ilibidi nimropokee maneno makaali namachafu nikasepa zangu!

Lakini hayo yalikuwa yenu wawili. Nahisi kuwa humtendei haki huyo jamaa kwa kuweka wazi mambo mliyokubaliana wawili mkapeana na contact zenu na sijui mlichokubaliana hadi mkakubaliana kukutana. Au umeona haendani na hadhi yako.... Nakushauri unyamaze kama yalikukuta hayo unayoyasema basi si lazima utusimulie na sie ambao hatukuwepo katika makubaliano yenu ya urafiki na kuwa huo urafiki ungekuwa na mipaka gani.
 
Hivi nami nikianzisha uzi wa kumpondea jamaa humu, si nitawauza hata kama sijaonana na yoyote.
Kama vipi amtaje ndio tutaamini sio ya kutunga hii.
Asprin, walai nilifikiri ndio wewe uliyeerect L kumbe ni cacico kaikalia na mkafumaniwa na BADILI TABIA. Lol
 
Last edited by a moderator:
ahahaaa acha upambe bwana....majanga kwa kweli

Smile na sisi tupange kukutana aisee, ila ujue ndo ivo nitakuja nimeishaconclude kabisaaaa!!! so niambie muda na mahali teh teh
 
Mimi kila nikivuta picha mbavu zinanivunjikaem just imagine,mchz kapaki mkoko nini anachonga ngenga kinouma kwenye cm huku anajikuna kichogo kisichowasha nn, pemben manz katulia nini anamsikilizia mnyamwezi amalize kuongea na samsung galaxy 4 mara kamaliza kuongea na 4n kidogo katoa mgadget huoooooo,anabrowse nini(nadhani alikuwa jf) huku mara jicho limedondokea kwene paja mara kwene titi ashhhhhhh, mara muda kidogo akimuangalia baby kwa jicho lililolegea ka kavuta cocktail ya heroine yenye tens mbili,twende zetu kwene opa.Demu huyooo kaongoza kwa mwendo wa twiga mchizi nyuma mimate inamtoka ka fisi kaona bonge la mzoga damn,kufika sasa kwenye gari hapo mimi napita sitaki ugomvi na muhusika.............................................
 
ngoja nimjibie mkuu ingawa sikuwepo, unajua approach nyingine zinachekesha sana! nahisi kilichomshanganza nivile jamaa alivyojiaminisha kuwa totoz imeishaingia laini hata bila ya kuimbisha, nadhani jamaa alivyoona totoz imempigia na imeitikia wito akajump kwenye conclusion kwamba mambo tayari....

kimbembe ni pale jamaa alipoanza kumshika shika, kumwita honey na kumwambiai aingie kwenye gari, loh! akyanani nimecheka hadi basi, utadhani naona tukio zima live!!!

wanawake wa kileo kuimbisha ni kupoteza muda. Unakamata unamkatia kipande chake.
 
ngoja nimjibie mkuu ingawa sikuwepo, unajua approach nyingine zinachekesha sana! nahisi kilichomshanganza nivile jamaa alivyojiaminisha kuwa totoz imeishaingia laini hata bila ya kuimbisha, nadhani jamaa alivyoona totoz imempigia na imeitikia wito akajump kwenye conclusion kwamba mambo tayari....

kimbembe ni pale jamaa alipoanza kumshika shika, kumwita honey na kumwambiai aingie kwenye gari, loh! akyanani nimecheka hadi basi, utadhani naona tukio zima live!!!

kakutana na masharobaro wa town,mbwembwe kibao.
 
wee huyo ndio kafanya kweli....wee urFiki na mwanaume bila kuombwa papucchi hamna. u luking for the impossible

kwa hiyo mkuu ulikuwa unataka tiffa agegedwe leo hii halafu mchizi aje na sredi humu madem wa jf maharaghe ya mbeya?sinakuuliza wewe mzabzab?
 
Last edited by a moderator:
Ukiona hivyo ujue hizo simu na msg zina umuhimu pia.
Kukutana na wewe hakufanyi maisha yasimame.

sio kwamba maisha yasimame, kuna ile ya kuwa bize na simu/ipad ya kupitiliza....
mtu anakusemesha maneno 50 wewe unajibu neno moja.....
 
Weka na aidii yake wazi kabisa humu...

kweli ati.... ili wadada wengine wamuepuke. Mimi tangu nilipoitwa Tapeli sina mzuka hata kidogo wa kujuana na mtu humu. Labda wale niliofahamiana nao uraiani then tukajuana id zetu.......
 
Ha ha ha ha ha ha da ngoja nicheke kwanza niendelee kugida kitu cha SBL nikimaliza ntakuja maana weekend bado
 
Nawasisitiza sana marafiki wa social network sio kabisa, kuna mtu kanipm ooh tuwe marafiki nimesoma sred zako nyingi kwahiyo nimevutiwa
akaniachia namba yake nikampigia kwabahati hatukuwa mbali namahali nilipo ikabidi tukutane, mara phone yake ikaita kaongeaa karibia lisaa sijakaa sawa katoa ipad kaanza kubrows mambo yake heee ikabidi nimshangae hakuna maongezi mpaka hapo ee, mara samahani honey ingia basi ndani yagari tuongee kibo ! Nimekua honey? Mara kanishika kiuno huku anataka kunikumbatia khee! Nilichukiaa ilibidi nimropokee maneno makaali namachafu nikasepa zangu!

Social network ni muhimu sana,utakuja kugundua una function yako fulani au issue ambayo inahitaji watu wa ku support...
Humu kuna aina nyingi za fani za watu,though naambiwa wapo pia matapeli bt hii ni dunia si hata mashetani wapo duniani sembuse jf?
it depend on how you hold it....
kutana na watu,usiharakishe kufaidika nao....,itakusaidia kuwafahamu zaidi pia...
usiwe na haraka kwa kila ulifanyalo humu jf ukikutana nae poa,usiwaze tu oooh anataka papuchi tuuu,NO.
Jitahidi umjue wengine hawataki kujuana fine hiyo ndo miiko yao waliojiwekea fine....wakiishi tofauti na miiko yao wanakwazika,so ili wasikwazike inabidi wafuate miiko yao ya kuto meet friends in jf.
Hakikisha una kuwa na uhakika na maamuzi yako.
"Mtu mwenye busara hutilia shaka hata maamuzi yake mwenyewe"
 
Una haki ya kulalamika manake jamaa alichokukosea sio hata kukuita honey but hakukupa attention ambayo ulidhani unastahili na kwa kweli ulistahili attention ya kutosha ila jamaa kwa masimu na ipad hapo hakukutendea haki hope next time hatachemka hivyo, nawe songa mbele atatokea mwenye kukupa attention unayostahili!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Nawasisitiza sana marafiki wa social network sio kabisa, kuna mtu kanipm ooh tuwe marafiki nimesoma sred zako nyingi kwahiyo nimevutiwa
akaniachia namba yake nikampigia kwabahati hatukuwa mbali namahali nilipo ikabidi tukutane, mara phone yake ikaita kaongeaa karibia lisaa sijakaa sawa katoa ipad kaanza kubrows mambo yake heee ikabidi nimshangae hakuna maongezi mpaka hapo ee, mara samahani honey ingia basi ndani yagari tuongee kibo ! Nimekua honey? Mara kanishika kiuno huku anataka kunikumbatia khee! Nilichukiaa ilibidi nimropokee maneno makaali namachafu nikasepa zangu!

Sasa povu la nini si ndo kidigitali,

We ukiona mistari humu uanazani malijaaaali, wengine midomo zege!
Yeye anachojuwa ushakubali kifuatacho ITV ni dudu tu!
Na bahati yako ungekubali mgegedo angepizi yeye tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom